Nisamehe Mwigulu Nchemba

Kwa kweli kwa kauli ya Leo mwigulu mchemba ameonesha sio mnafiki mzalendo wa kweli
 
Mwigula alipima upepo akaona pa kusimamia na kuosha nyota
 
Mm sikubaliani na maamuzi ya Mh. Mwigulu,eti anasema waliogawana pesa za Escrow walipe kodi,kwani wamefanya biashara gani au wamefanya kazi gani? Hawa ni wahalifu yaani ni wezi wa mali ya umma kinachotakiwa ni kufilisiwa na kushtakiwa.
 
mi naomba mnisamehe tu kuhusu huyu mwigulu mnamkumbuka sita na mwakyembe tulivyowasifia walipokua wanapambana na serikali ya kikwete tuliwaona mashujaa wa mafukara lakini mwisho wameliuza taifa hili kwa laki 3 kwa siku pale dodoma siamini ccm yoyote
 

Umefanya vizuri sana kukiri makosa yako, bigup sana
 

Ni mapema sana! angalia hadiwe anacheza na akili zako!
 

Toka baraza la katiba hadi bunge la escrow huyu jamaa namkubali tatizo anaharibiwa na chama, cjui kwa nn yupo pale
 
Mwigulu amebadilika sana....nampongeza sana..ameacha uropokaji na anaongea kama kiongpzi
 
Mimi binafsi sijaona kwa nini Mwigulu anasifiwa kwenye hili suala kwa sababu zifuatazo:

1) kudai eti wote waliochuwa pesa walipe kodi ya income tax sio Sawa maana huwezi kutoza kodi kwenye pesa haramu.

2) kusema eti tra wamekwisha aanza kufuatilia kodi Yao pia nadhani hili Lina mashaka lakini pia Lina halalisha kuwa fedha za umma zilikuwepo! Mashaka yangu nipale kodi inapodaiwa baada ya tukio! Vat ilipaswa kulipwa kabla na sio baada
 
Bado ni mapema sana kumwamini huyu mwengulu,bado namuona kama ni chui aliyevaa ngozi ya kondoo kwa vitendo vya kishetani alivyoshiriki kupanga mikakati ya kuua raia na kuwasingizia CHADEMA,cmwamini hata kidogo.
 
Mitanzania ndio maana inaibiwa......kudanganywa kidogo tu mshaanza kumsifia huyu gaidi....hamjui wanasiasa nyie hasa wa CCM
 

mkuu hongera umenena kwa hekma ya hali ya juu. Bravoo.!
 
hata akibadilika na kuwa mwema zaidi ya YESU mim abadan sitomwamin hadi atoke ccm na awaombe radhi wale aliowaulia ndugu zao!
 
mi naomba mnisamehe tu kuhusu huyu mwigulu mnamkumbuka sita na mwakyembe tulivyowasifia walipokua wanapambana na serikali ya kikwete tuliwaona mashujaa wa mafukara lakini mwisho wameliuza taifa hili kwa laki 3 kwa siku pale dodoma siamini ccm yoyote

Nikweli unachosema hata mm nashindwa kuamini CDM yeyote.ila hata CCM siwaamini wote. kwa mwigulu mia mia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…