freshet net
Senior Member
- Nov 3, 2014
- 153
- 169
.
sema mbaya kama wapo wengisasa si unge mwandikia huo ujumbe hata kwenye whatsap status apa atajuaje kaa yeye ndo mlengwa maana una tumia jina Fake
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief amini Mungu nina bifu na wewe.Hizi nyuzi zinarud sasa sjui nafeli wap mm mbona sipat wa kuniandikia
Sent using Jamii Forums mobile app

Babe nisamehe.Sipendi nikukosee na sipendi kuona tunakuwa na migogoro kwakuwa nakupenda na siwezi kuvumilia maumivu ya kukukosa.
Natamani kuandika maneno mengi ila mwenzio huwa sio muongeaji sana, hata kwa haya machache Love naomba unielewe, You mean a World to me so please don't go.
We ni kiongozi kwangu ushaniteka I'll just follow your lead amini hivo ,
Najua utapita hapa...jua kwamba nakupenda sana kutoka ndani ya moyo wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app

Una bifu na mm kisa nn Mkuu?Chief amini Mungu nina bifu na wewe.
ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ![]()
Naomba unisamehe sana mkuu, nilihisi unaniibiaUna bifu na mm kisa nn Mkuu?















