Habari! Swali. Je upo uwezekano wa kuomba uhamisho kwenda mkoa mwengine hata kama hujapata barua ya Tscd ambayo nasikia unapewa baadacya mwaka mmoja??
Kama haupo je kama una matatizo ya kiafya na unataka kuwa karibu na nyumbani haiwezekani pia kukuhamisha??
Na kama inawezekana nitumie njia gani ii niweze kufanikiwa
Kama haupo je kama una matatizo ya kiafya na unataka kuwa karibu na nyumbani haiwezekani pia kukuhamisha??
Na kama inawezekana nitumie njia gani ii niweze kufanikiwa