Nisaidieni.....

TWIME

Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
59
Reaction score
6
Nimatumain yangu wote mko wazima ! kiukweli leo nimekuja nikiwa na nia ya kusaidiwa ushauri na mawazo ya kunijenga kwa wale wenye lugha za kejeri nitaomba leo mtulie tu. kiufupi mm ni hajuza wa miaka ya kutosha na ni mama wa mtoto mmoja wa ndan ya ndoa, kwa bahati mbaya safari ya ndoa hiyo ilikua ngumu sana na hatimaye mpaka muda huu nimeachwa njia panda sina talaka sina matunz sina kitu chechote ninacho kitegemea toka kwa bwana mkubwa hy ,mbaya zaidi hata mtoto wake pia hampatii matunzo kabisa . sambamba na hayo katika kipindi cha ndoa yetu alijimudu kuzaa watoto nje ya ndoa ambao mpaka sasa jumla yake wapo wa tano nao pia matunzo ni tia tia maji na nilimpo mshauri na mambo mengine mengi hali ilizidi kua mbaya na kuniona ninampigia kalele , hatima yake tukatelekezwa mm na mtoto .sasa ni mwaka wa tatu tangu ametuteleeza binafsi maisha yanaendelea tena kadri inavyo mpendeza mungu nazidi kubalikiwa kwa bababu shughuri zangu za kilimo cha matango zinanilipa sana na hiv ninavyoutuma ujumbe huu sipo mchin nimeleta matango yangu huku si haba maisha yana kwenda na nimekaa zaidi ya miaka mitatu simjuh mwanaume nikisubili labda mzee mwenzangu atabadilika then tule matunda tuliyojahaliwa na M/mungu but haikuwa hivyo .Sikuchoka kumuomba mungu na nilimweleza nataka nini.kwa bahati mzuri mwez umepita sas nimekutan na mtu ambaye mm sijuh ila yeye alikua akinifuatilia bila mm kujua na baade tulipata muda wa kula chakula cha usiku na ndipo alipo nipa historia yk ambayo haikua na tofauti na yangu na kunitaka tupate muda ili tujadili zaidi ikibidi iwe nje ya hapa tulipo kibiashara na twende nje ya mji wingine kwa maongez kwa kwa ufupi yeye anaonyesha yuko commited na responsible man na umri wake ni wa kutosha pia hofu yangu ni hii ndoa ya mwanzo na pia huyu mtu si Mtanzania mm na banwa na mila na desturi ya kazi yangu...... ushauri uwezi pita sio lazima useme kitu
 
First am proud of you kusimamia mtoto na wewe na kuwa mwanamuke mujasiriamali
follow ur heart mdada
sisi waislam hapo hakuna ndoa as well as christian
follow the procedures.
Life is about choice.
And this is your time to be happy.
You deserve the best.
Akileta maneno mengi simama kidete be strong sheria zipo zitakulinda.
Dedication:Super Woman Alicia Keys
 
Ukishajiita ajuza wewe mwenyewe una invite kejeli na utani humu
 
mimi naona utulizane kwanza dear...kibiashara ndo kimekukubali hata hujafaidi..ujue wanaume bwana mama yao mmoja wanasema..huyo jamaa humjui kiivo ..hata huo uresponsible unaomsifia nikikuambia unifafanulie hapa sidhani kama uta jibu
maisha ni haya haya.. kwa jinsi ulivoeleza ina maana umepita mabonde na milima mwenyewe na mungu wako hadi ukapata pumziko la moyo au furaha uliyo nayo kwa sasa.furaha yako ni wewe mwenyewe....tulia kwanza
usimuamini mtu yoyote ....taratibu mamito
 
Dont fall in love because ur lonely,u have been hurt
fall in love when your heart is ready
if you think that man is the best then let it be the begining

next time jitahidi kuandika vizuri,I find it so
difficult to understand ur words
 
Dada/mama, hakuna kiumbe mpole kama mwanaume pindi tunapoomba mahusiano au umekwishasahau huyo aliyekutelekeza mwanzo ilikuwaje? Ushauri wangu kwako mahusiano yenu yawe 50/50 ili naye akizingua unachukua 50 yako unasonga mbele.
 

Naomba nikandamize maneno aliyosema smile hapa:

...Tulia kwanza, usimuamini mtu yeyote...

Alafu naomba niongeze yangu ya 'kidunia kidogo'... (maana hii ni dunia anyway)...

...Hebu msome NJE NA NDANI (najua wewe kwa umri wako umenielewa), japo kwa miezi mitatu, alafu uone kama sio 'wale wale'... then utakuwa na maamuzi yenye mahufaa.
 
Eeeh M/ mungu nizidi kukushukuru kwa ajili ya watu hawa ndan ya jukwaa hili kiukweli nawashukuru sana mawazo yenu nimeyapokea kwa moyo wa upendo na uchungu mkubwa kwan hata nilipoikumbuka safari ya maisha yangu nimejikuta nikibubujikwa na ma machoz kwan ni mateso makubwa tunayoyapitia baadhi ya sisi wanawake kwa baadhi ya wanaume kuikweli nilimpenda sana mume wangu nilimuheshimu na niliheshimu agano letu mbele za mungu but upendo wangu ilikua ndio fimbo ya kunichapia na kunivurugia muelekeo mzima wa maisha inauma sana ila nawashukuru. pia naungana na wazo la kumjua mtu ,ni kweli uwezi kumjua mtu kwa muda mfupi ila nilipomjua km ni mtu anayejua majukumu yake si mtu wa kupenda useme jambo mala mbili to be serious mm nimfanyakaz wa serikali na kwa sasa nimepata kazi nyingine kuuza matango that why mila na desturi kwan huku nilipo nawakilisha nchi yangu familia yangu na vitu vingi hivyo nisingepend kua mtu wa tofauti my be kufuatia hali hiyo ili mvutia na mpaka leo hii hajawa kama watu wengune wa kudemand mambo ya hajabu zaidi ya kunifariji kuongelea maisha ya kawaida pia sijuh km bado ananipima zaidi yote mungu anajua bila kuficha maisha hy nikwilisha yasahau kwamba kuna mtu anaweza akanibembeleza nikakaa nikabadilihana nae mawazo ya msingi na kunifuta machoz akili ilishaganda kwa stress so nimewaelewa nitayafania kazi kwasababu nilipotoka ni mbali so sina tb na hata nilipokua katika ndoa yangu kubwa nilirotaka ni upendo ,aman. na sio pesa kwa sababu haka kamshahara kangu kadogo kananipa uhuru wa kuingia duka nitakaro nk zaidi namshukuru mungu kwan hivi vyote ni mali yake.
 
Thanks my dear nimekuelewa nitayafanyia kazi yote
 
Mila na desturi za utumish wa umma na biashara
 
ndo maisha dear...ujue sisi wanawake tunajua kupenda kweli,,,,inaumiza sana unapompenda mmtu na kumvumilia katika shida na taabu ila yeye hathamini upendo wako...wewe kwa sasa hivi angalia kwanza maisha yako na mtoto wako.usitegemee kufurahishwa na mwanaume...kwani ulishajitoa kwa wangapi na hukuambulia chochote hadi ndoa umefunga na mume mwenyewe kakutenda ....kwa sasa focus kwenye vitu vingine wanaume weka pembeni kwanza
 
ukute ni bomu kuliko alietangulia ...anataka kuchota hela za bamia sijui....waaaaaaaaai
 
Be careful madame kama humjui nenda taratibu anataka mwende sehemu nyingine ili iweje?oh atakupoteza i guess the man alipojua historia yako na mafanikio ndo na yeye akakueleza habari iliyofanan na yako.me ni mgumu kuamini mtu hasa stranger.kutokutaka kitu inaweza kuwa moja ya tricky esp when s'one is after something esp your money
 
ukute ni bomu kuliko alietangulia ...anataka kuchota hela za bamia sijui....waaaaaaaaai

yaani naombea isiwe hivyo maana ikiwa hivyo, conclusion itakayotoka itatulaani wanaume 'wote'...
 
yaani naombea isiwe hivyo maana ikiwa hivyo, conclusion itakayotoka itatulaani wanaume 'wote'...
ujue mahusiano bwana sio kitu cha kukurupukia saana..unapoamua kuingia kwenye mahusiano it means unataka pumziko la moyo..sasa shida ujue mioyo ya watu huwezi kuisoma bwana ...wewe unataka pumziko mwenzako anataka tu kitu flani .money au papuchi hana time na moyo wako ....siku mbili tatu hayo mahusiano yanakuwa mzigo kuliko uliokuwa nao mwanzoni ...unaweza kuwa kichaa atiii! ndo maana napenda usingle sana...unaangalia maisha yako mwenyewe maisha yakikushinda unajaribu kitu kingine! kwanini kulaumu watu huku duniani kila siku..?
 

Hata ukichinja mbuzi, unakutana na ngozi, nyama, mapafu, mbavu kabla ya kukutana na moyo... Sasa watu wengine siku hizi kakutana na mtu leo jumatatu, kesho kutwa jumatano anataka ampe 'moyo'... Weeeee... there are many other 'organs' to offer before he/she deserves 'moyo'... ( na kwa bahati mbaya watu wengine wanahusisha kumpa mtu 'moyo' na kumpa papuchi...!!!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…