Nimatumain yangu wote mko wazima ! kiukweli leo nimekuja nikiwa na nia ya kusaidiwa ushauri na mawazo ya kunijenga kwa wale wenye lugha za kejeri nitaomba leo mtulie tu. kiufupi mm ni hajuza wa miaka ya kutosha na ni mama wa mtoto mmoja wa ndan ya ndoa, kwa bahati mbaya safari ya ndoa hiyo ilikua ngumu sana na hatimaye mpaka muda huu nimeachwa njia panda sina talaka sina matunz sina kitu chechote ninacho kitegemea toka kwa bwana mkubwa hy ,mbaya zaidi hata mtoto wake pia hampatii matunzo kabisa . sambamba na hayo katika kipindi cha ndoa yetu alijimudu kuzaa watoto nje ya ndoa ambao mpaka sasa jumla yake wapo wa tano nao pia matunzo ni tia tia maji na nilimpo mshauri na mambo mengine mengi hali ilizidi kua mbaya na kuniona ninampigia kalele , hatima yake tukatelekezwa mm na mtoto .sasa ni mwaka wa tatu tangu ametuteleeza binafsi maisha yanaendelea tena kadri inavyo mpendeza mungu nazidi kubalikiwa kwa bababu shughuri zangu za kilimo cha matango zinanilipa sana na hiv ninavyoutuma ujumbe huu sipo mchin nimeleta matango yangu huku si haba maisha yana kwenda na nimekaa zaidi ya miaka mitatu simjuh mwanaume nikisubili labda mzee mwenzangu atabadilika then tule matunda tuliyojahaliwa na M/mungu but haikuwa hivyo .Sikuchoka kumuomba mungu na nilimweleza nataka nini.kwa bahati mzuri mwez umepita sas nimekutan na mtu ambaye mm sijuh ila yeye alikua akinifuatilia bila mm kujua na baade tulipata muda wa kula chakula cha usiku na ndipo alipo nipa historia yk ambayo haikua na tofauti na yangu na kunitaka tupate muda ili tujadili zaidi ikibidi iwe nje ya hapa tulipo kibiashara na twende nje ya mji wingine kwa maongez kwa kwa ufupi yeye anaonyesha yuko commited na responsible man na umri wake ni wa kutosha pia hofu yangu ni hii ndoa ya mwanzo na pia huyu mtu si Mtanzania mm na banwa na mila na desturi ya kazi yangu...... ushauri uwezi pita sio lazima useme kitu