Nisaidieni wadau nipo njia panda

Nisaidieni wadau nipo njia panda

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,351
Wadau,

Katika pita pita zangu. Nilikutana na wanaume wawili. Sasa kati ya hao mmoja alinipatia mawasiliano.

Mawasiliano yakaanza na sasa unamiezi miwili. Huu watatu nikapokea namba ngeni kuuliza niyule kaka mwingine.

Anamadai kuwa yeye ndio mlengwa na sio yule mwingine. Kwa hiyo yule aliyenipatia mawasiliano alichukua tu ili ampatie yeyr baadaye.

Nakumbuka hiyo siku nilimwomba namba yake alikaata na sasa anadai yeye ndio mlengwa na sio huyo aliyenipatia mawasiliano.

Sasa niko njia panda nisaidieni.
 
Piga chini wote,hayupo anayejielewa hapo...mwanaume unatakiwa kujiamni, hao block wote watafutane vijiwe vyao vya kahawa..na ujinga ni kwamba wakifika vijiweni watatambiana kila mmoja ashakula mzigo,
 
Mlengwa wa nini? Au kwenye hayo mawasiliano alikutongoza?
Maana umezungumzia mawasiliano tu. Au tiari kuna mawasiliano?
 
we ndo unajitia njia panda, piga chini wote maana ukiwa na mmoja wao utasababisha ugomvi kati yao.
 
Dadaangu usipende kukaa njiapanda sio vzr hata kidogo. Huko njia panda unaweza kupata ajali kwa kugongwa na gari, halafu pia njia panda watu wanafanya sana matambiko na kurogana.

Tafuta sehemu nzuri usimame Lakn sio njiapanda
 
Unaonesha ww kicheche mkomavu.Kama umeweza omba Hadi namba ya simu ya mwanaume ukanyimwaaaaaa! Jitathmini, Ushauriwe nn Sasa uko level hiyo.Njia panda gani uliyopo ya Ndembela au?
 
Nawew Fanya kam huwaelewi,af watu WA aina hiyo huwaga wachezeaji tu,kam unatak msindikizane ukubwani chagua mmoja ila kwa mahusiano yenye kesho hell NO" funga vioo!!
Nafunga aisee hata ukubwani siwataki aisee hawanifai
 
Unaonesha ww kicheche mkomavu.Kama umeweza omba Hadi namba ya simu ya mwanaume ukanyimwaaaaaa! Jitathmini, Ushauriwe nn Sasa uko level hiyo.Njia panda gani uliyopo ya Ndembela au?
Hapana sijaomba namba kwa nia mbaya yeye ndio alionyesha nia hivi unadhani watu wote watakuoa kuna wakuoa na wakula nao raha .
Najua chakufanya ila kama nimepewa namtu mmoja ni ridhaa yake basi mbona sijajali ya huyo mwingine?
 
Aisee!! hatari sana! Embu njoo pm kwa ushauri zaidi,naona kuna shida mahala hasa kwako,unachezewa bila kujitambua!!
 
Back
Top Bottom