Nisaidieni nifanye biashara gani? Nina mtaji wa 3,000,000/=, nipo Himo-Moshi

usikimbilie kufanya biashara yoyote kisa una mtaji hakikisha unaelimu yakutosha juu ya hiyo elimu kwanza kisha uwanze kuifanya.
 
Mkuu mie sikubaliani na wewe unapotaka mwenye idea kukaa physically kwenye biashara coz mtu huyu anaweza kuwa na miradi mingi na cha muhimu kwake ni kuhakikisha anakagua na kuhakikisha waendeshaji wanafuatilia vision yake kama jinsi alivyoplan mwanzo. Otherwise wewe unaongelea yule kijana anayefanya kibandani pekee na mtazamo wako si kwa mfanyabiashara mwenye multiportfolio investment/assets. Chukulia mfano una projects zaidi ya 3 at par moja iko Dar, Arusha na Mbeya utakaa wapi sasa? na je huoni kuna kampuni na wafanyabiashara wengi wamefungua branches na hawakai physically bt biashara wanafanya external supervision na zinafanya vizuri in terms of market and competition dhidi ya rivals?





The best Idea ya Biashara inatokana na wewe mwenyewe, Unless mleta maada awe ni kipofu, kiziwi, na hata bubu na hajawahi tembea, kabisa,

Na mafanikio yoyote ya Biashara huanza na Idea, Idea ndo hubeba biashara yako ndo itakayo determine mafanikioa au kuto fanikiwa, sasa kama mimi siwezi jua ni fanye nini, hata biashara vilevile sitaweza kufanya, na kushindwa katika biashara huanzia kwenye wazo na si mahali pengine popote pale

Nawashangaa watu wanao kuja na ushauri mara fuga, mara hoteli, Hivi mimi niko Arusha, halafu na mshauri mtu alieko mbeya kwamba Afungue hoteli, inawezekana vipi? Je mimi nafahamu fika mazingira na ya huko? triends ya huko naijua? je Competition naifahamu vyema? Wakuu tuwe siriasi ,make hapa watu ni kupotezana badala ya kusaidiana, ni kichekesho sana,

Na mafanikio yoyote katika biashara huanza na juhudi zako bianafisi, ikiwemo kuumiza kichwa kutafuta wazo la biashara ambalo ni bora kabisa na ambalo linabeba feature yako ya baadae, problems ni kwamba watanzania hawataki kuumiza vichwa that is why Biashara za watanzania zinafanana Nchi nzima, P-PESA, STATITIONARY, BAA, HOTELI, DUKA LA JUMLA NA REJAREJA, KUUZA MITUMBA, SALOON, KUNUNUA TOYO, hizo ndo idea zetu, na that is why watu wanishia kwenda kwa waganga na kukata mikono ya alibino ni kutokana na haya, ubunifu wetu ni negative,

Unapo fikilia kuanzisha hata hiyo M-PESA, jiulize je baada ya miaka 10 hadi 15 nitakuwa wapi na hii M-PESA yangu?

So IDEA iliyo bora kabisa inatoka kwako wewe mwenyewe, na that is why unapo kuwa na Idea yako na ukaanza project mfano ya Ufugaji, unatakiwa uwe msimamiz mkuu kwa sababu wewe ndo mwenye idea na wewe ndo unaye jua malengo yako, sasa inapelekea mtu anawazo zuri sana la biashara na kinacho fuata baada ya kuanza ni kuweka Mke/ mme. shemeji, sijui Mjomba, sijui Mchumba, mara binamu, mara Baba mdogo. mwisho wa siku ni biashara kuto kukua au hata kufa kabisa, kwa sababu wewe initiator wa idea umeshindwa kusimamia idea yako na umebakia kuongoza kwa Limoti control
 
himo moshi napajua saana..
pale kwa capital yako sio ndogo kwa himo waweza fanya mengi kama ifuatavyo..
waweza nunua contena then upangishe..
waweza fungua duka la bidhaa za umeme coz watu weng wanajenga huko..
waweza anzisha restaurant nzur ya quality services hala himo mjin wateja wapo sana..
 
fanya biashara ya kufuga samaki,unahitaji nyumba yenye fensi, na kuchimba vidimbwi vya futi 3 ,vidimbwi kumi ,chakula cha samaki na kuwanunua samaki kadhaa,kwa maelezo zaidi tafuta kwenye google
 
acha kuwafanya watu hawana akili heshimu mawazo ya watu sio kujiona wew ndo unaakili, na kwa taarifa yako mawazo waliyotoa wachangiaji wengine yanafit mahali popote na mkoa wowote pia na hali ya hewa yoyote,hebu nibishie kama biashara ya kufuga samaki inachagua mazingira au ?
 
acha kuwafanya watu hawana akili heshimu mawazo ya watu sio kujiona wew ndo unaakili, na kwa taarifa yako mawazo waliyotoa wachangiaji wengine yanafit mahali popote na mkoa wowote pia na hali ya hewa yoyote,hebu nibishie kama biashara ya kufuga samaki inachagua mazingira au ?

Una bishana na nani mkuu?
 
Uza unga haukosi wateja.

Toa maelezo ya kutosha basi FF.!

Hii biashara kuna kampuni moja ndogo tu inaifanya na inaingiza pesa za maana sana!

Kwa mwezi naambiwa mwenye coy anachezea mil 300 kwa ku supply tonnage 15 za unga wa mahindi.

Biashara nzuri sana hii.
 
Back
Top Bottom