Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Unatumia mbinu gani kuhakikisha unapata kilo 300 kwa heka? na hizo tangawizi zinatumia muda gani kati ya kupanda na kuvuna?
hivi kilo 1 ya tangawizi ni Elfu 20?
Unatumia mbinu gani kuhakikisha unapata kilo 300 kwa heka? na hizo tangawizi zinatumia muda gani kati ya kupanda na kuvuna?
The best Idea ya Biashara inatokana na wewe mwenyewe, Unless mleta maada awe ni kipofu, kiziwi, na hata bubu na hajawahi tembea, kabisa,
Na mafanikio yoyote ya Biashara huanza na Idea, Idea ndo hubeba biashara yako ndo itakayo determine mafanikioa au kuto fanikiwa, sasa kama mimi siwezi jua ni fanye nini, hata biashara vilevile sitaweza kufanya, na kushindwa katika biashara huanzia kwenye wazo na si mahali pengine popote pale
Nawashangaa watu wanao kuja na ushauri mara fuga, mara hoteli, Hivi mimi niko Arusha, halafu na mshauri mtu alieko mbeya kwamba Afungue hoteli, inawezekana vipi? Je mimi nafahamu fika mazingira na ya huko? triends ya huko naijua? je Competition naifahamu vyema? Wakuu tuwe siriasi ,make hapa watu ni kupotezana badala ya kusaidiana, ni kichekesho sana,
Na mafanikio yoyote katika biashara huanza na juhudi zako bianafisi, ikiwemo kuumiza kichwa kutafuta wazo la biashara ambalo ni bora kabisa na ambalo linabeba feature yako ya baadae, problems ni kwamba watanzania hawataki kuumiza vichwa that is why Biashara za watanzania zinafanana Nchi nzima, P-PESA, STATITIONARY, BAA, HOTELI, DUKA LA JUMLA NA REJAREJA, KUUZA MITUMBA, SALOON, KUNUNUA TOYO, hizo ndo idea zetu, na that is why watu wanishia kwenda kwa waganga na kukata mikono ya alibino ni kutokana na haya, ubunifu wetu ni negative,
Unapo fikilia kuanzisha hata hiyo M-PESA, jiulize je baada ya miaka 10 hadi 15 nitakuwa wapi na hii M-PESA yangu?
So IDEA iliyo bora kabisa inatoka kwako wewe mwenyewe, na that is why unapo kuwa na Idea yako na ukaanza project mfano ya Ufugaji, unatakiwa uwe msimamiz mkuu kwa sababu wewe ndo mwenye idea na wewe ndo unaye jua malengo yako, sasa inapelekea mtu anawazo zuri sana la biashara na kinacho fuata baada ya kuanza ni kuweka Mke/ mme. shemeji, sijui Mjomba, sijui Mchumba, mara binamu, mara Baba mdogo. mwisho wa siku ni biashara kuto kukua au hata kufa kabisa, kwa sababu wewe initiator wa idea umeshindwa kusimamia idea yako na umebakia kuongoza kwa Limoti control
Seriously, nunua Magwanda kwa jumla uuze reja reja.
hata magamba yanauzika sana haswa kwa wale wenye akili mbovu za kushikiwa au sio
Hasa yakiwa ya papa aka shark.
acha kuwafanya watu hawana akili heshimu mawazo ya watu sio kujiona wew ndo unaakili, na kwa taarifa yako mawazo waliyotoa wachangiaji wengine yanafit mahali popote na mkoa wowote pia na hali ya hewa yoyote,hebu nibishie kama biashara ya kufuga samaki inachagua mazingira au ?
WAZO LANGU.
1.M-PESA/TIGO- PESA
2.NERT WORK MARKETING
3.DUKA LA VINYWAJI LA JUMLA
4.DUKA LA JUMLA BIDHAA MCHANGANYIKO.
HAPO VIPI.:car:
we mkare!
Una bishana na nani mkuu?
Uza unga haukosi wateja.
Uza unga haukosi wateja.
Tyson alikula akalala bungeni