Nisaidieni nakaribia kuumbuka

Kwa hili sikubaliani na wewe mkuu.
Binadamu hubadilika na hata mimi nimebadilika sana tu, sio tena yule wa matukio. Nimekuwa baba mzuri, mume mwema na ninampenda Mungu
People hubadilika kwanini hyo tabia ni ya wanaume 98% wako hvo bila kujali umri, hata matukio ya kila siku ni hayo hayo, huwa nawaza Kuna sehemu hamkui
 
Mkuu, hii kitu kama haijawahi kukupata unaweza ichukulia poa.
Binafsi ninamuelewa sana mleta mada, na hii hali inaweza sababisha ukatamani hata dunia ipasuke utoweke aiseeeeee
Ni kweli lakini mbona hicho kitendawili jibu lake jepesi Sana...atumie uwanaume wake Kwenye kufanya maamuzi Kama hayo kwamaana atumie akili zaidi (kichwa cha juu) kuliko hisia (kichwa cha chini).

Labda awe amelishwa ndumba na hao mademu....
 
Lazima tofauti ipo tu Kwanamna yoyote na kama huioni basi wewe ndio huwastahili wao waache wapate muda wakupata waume wazuri watakao wafaa. Tatizo 1 la haraka haraka ulilo nalo wewe siyo muaminifu hata ukichagua mmoja Kwa sifa ulizo wapamba nazo utamuumiza tu tafuta liongo kama ww itakuwa poa sana
 
Nipe namba za mmoja halafu nimpige sound kisha uikamate simu halafu upate sababu ya kumuacha
 
hahaaaa wewe sio wa kunitamkia maneno hayo ila Hakika aibu haitokukuta maana umeamua kukamata fursa ya mjentlomani Pep ila tu namshtua mapema kwenye zile tabia zako za kuwaweka watu friend zone 😂
😂 😂
Kushakuchaaa,
Kwahiyo mdogo wangu unataka kuniharibia mchana kweupe si ndiyo?? Pep siwezi mfanyia hivyo kwani nimemridhia kwa moyo wangu wote..!!
 
Wapige mimba wote hakikisha kila moja unampatia watoto wa wili au watatu endeleatu kuongeza watoto, alafu anza kuwajengea kila moja nyumba yake, hapo utakuwa umewajibika kama mwana Ume.
 
Pep siku nyingiine ukitaka kupost unitumieee mimi inbox ni post alafu wewe uandike ingine

Hizi busara zako zinaweza tenda jambo kwangu

Big up sana mkuu

#Staysafe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…