hapo umenena vizuri swekeatume maombi kila atakaposikia kuna kazi huku akimwomba sana huyu mwokozi aliyezaliwa leo
Kuna dada angu anatafuta kazi yupo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile iwe kijijini au mjini.amepata DIPLOMA yake CHUO CHA USTAWI WA JAMII kilichopo LUNGEMBA(iringa.mafinga)na GPA yake ni nzuri inalidhisha.NAOMBENI MSAADA WENU!!!