Nisaidieni mawazo yenu tafadhali

Nisaidieni mawazo yenu tafadhali

piga chini huyo hana maana maswala ya kugegedana kila mwezi ujinga mtupu.......!! kwa sababu ni mpenzi at least baada ya miezi sita ndo ugegedwe loh!!!
mmmh miezi 6??hapo umetudanganya labda mkiwa hampo sehem moja
 
You are so sweet! Ndio maana muda wote anakuwazia tu!! Lakini kwakuwa bado mu wapenzi c vema muda wote kungonoka tu!! Labda nikuulize..kwani umeshakaanaye na kumueleza hilo?ama umekimbilia tu huku?
 
ila mimi navyojua hii ni one sided story....ukiona mtu anabana sana ujue hampendi huyo mtu....mtu kama mnapendana hata kwenye gari....ulishawahi kumpenda mtu au kupendana mapenzi yakatune in same rythim wewe...?
touchn...hua hayangalii imradi tu mazingira yawepo tena yananogaje
 
too much of anything is harmful....that's a sex addict...he needs to seek for treatment just lyk any other addict!
 
touchn...hua hayangalii imradi tu mazingira yawepo tena yananogaje
...ni kweli aise..kuna watu wanaendesha mapenzi kama wako mahakamani.....kama humpendi mtu humpendi kama unampenda unampenda......enzi zile sisi tulikua tunaona kuna msichana mwingine ....kwanza nakusumbua sana....na akikupa utafikiri mpo jeshini au polisi....ukimbusu utaskia unanibusu busu nini...mpaka unakuta mwanaume anajistukia...mimi kusema ukweli enzi zangu nlikua sirudi...ndo utakuta mtu analalamika publicaly(one sidede story ) hanipendi kumbe kwa ndani mapenzi yenyeew ya kunyimana alafu yamekaa kijeshi...mimi mtu mzima naongea hivi kusaidia vijana.....KAMA MTU HUMPENDI bora kumkacha kuliko kupeleka mabo kijeshi kijeshi
 
aisee nimeipenda hiyo huyo jamaa atakuwa mwanaume wa shoka,sasa wewe dada unalalamika kugegedwa kila mara wakati wanawake wengine wanalalamika kuwa wanaume zao huwa hawawafikishi kileleni jamani upewe nini wewe dada.
 
piga chini huyo hana maana maswala ya kugegedana kila mwezi ujinga mtupu.......!! kwa sababu ni mpenzi at least baada ya miezi sita ndo ugegedwe loh!!!

hahaha unataka mgegedano mara sita kwa mwezi? makubwaaaaaa
 
Yaani he is my type,he has everything that I need in a man and iam ready to compromise ila sio in sex before marriage, hapo ntamwacha tu aende

Shosti humpendi tu huyo jamaa. hujapata full love package subiri muda utakufikia tu ajue maana ya mapenzi
 
...mapenzi yenyewe ni ngono kivipi...basi ninyi hampendani...yaani hamna mapenzi kati yenu....

Maelezo yake yanaonyesha hakuna chemistry kati yao. wanapotezeana muda tu
 
wengine hata hawakujui mnachati tu kwenye simu siku ya kuonana anataka mkutane guest mkamalizane, sijui tunaelekea wapi na kwa mtaji huu maambukizi ya ukimwi TZ lazima yaonezeke maradufu.
 
Am serious miezi sita kwa nini unigegede kama umenioa me ukianza maswala ya kugegedana mara kwa mara nakuacha ata kama unanipenda

Hii ndio sababu pia ya wanaume kutoka nje ya ndoa,bi dada umeolewa mpe mwenzio akitaka,hata wewe ukitaka akupe iwe jikoni,sebuleni,asubuhi,jioni,mchana au hata usiku wa manane!Unataka akagegede wapi sasa?Mi mke wangu asuhuhi tunagegedana na mchana akitaka,ile 1 hour lunch time tunarudi zetu hm tunapeana then kila mtu anarudi kazini kwake!Msinyimane mnapokuwa ndani ya ndoa!
 
mmmh miezi 6??hapo umetudanganya labda mkiwa hampo sehem moja

hata kama ni sehemu moja inategemea mazingira mnayokutania kama kwenye vificho madochana kila siku ila kama sehemu za uwazi wala hata mwaka unafika.....
 
Hii ndio sababu pia ya wanaume kutoka nje ya ndoa,bi dada umeolewa mpe mwenzio akitaka,hata wewe ukitaka akupe iwe jikoni,sebuleni,asubuhi,jioni,mchana au hata usiku wa manane!Unataka akagegede wapi sasa?Mi mke wangu asuhuhi tunagegedana na mchana akitaka,ile 1 hour lunch time tunarudi zetu hm tunapeana then kila mtu anarudi kazini kwake!Msinyimane mnapokuwa ndani ya ndoa!

kugegedana mara zote hizo hiyo michubuko si itakuwa kidonda permanent mmmh me hapana, kama nimeolewa mara moja kwa mwezi sawa....
 
piga chini huyo hana maana maswala ya kugegedana kila mwezi ujinga mtupu.......!! kwa sababu ni mpenzi at least baada ya miezi sita ndo ugegedwe loh!!!

wewe unasema kila mwezi watu tunataka kila siku. na hiyo miezi sita nani ataiweza. hivi wewe una genye kweli? Naamini siku ukiolewa mume wako atapata shida kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom