Nisaidieni mawazo yenu tafadhali

Nisaidieni mawazo yenu tafadhali

afrique

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
509
Reaction score
136
Mwenzenu nimeingia kwenye mahusiano na moyo umependa jumla, ila huyu mpenz anawaza ngono 24*7.
Hapa nina mpango wa kujiweka pembeni kabisa sababu naona yamenishinda ,
Hivi wanaume siku hizi mkiona warembo mnawaza tu kuwavua nguo!!!!!!
natamani kurudi enzi za mababu zetu ambapo mapenz yalikuwa na maana.
He!!!!!eti bby leo tunaonana!!!ukisema tu ndio unaelekezwa guest house,kama mapenzi ndio hayo bora tu nikimbie
 
piga chini huyo hana maana maswala ya kugegedana kila mwezi ujinga mtupu.......!! kwa sababu ni mpenzi at least baada ya miezi sita ndo ugegedwe loh!!!
 
Bora kama hujapofushwa na mapenzi mkuu,kwa ufupi huyo mpenzio yupo kimwili zaidi yaani yupo na wewe sana sana ili atimize haja zake za kimwili,mwache mara moja mwaya maanake ukizidi kumg'ang'ania sina shaka kuna siku nyingine utakuja na topic mpya hapa ya kuachwa bila sababu unaomba ushauri,chukua maamuzi magumu mwayego.
 
  • Thanks
Reactions: Luv
inategemea na mazingira....najua watakuja watu watakudanganya...lakini siku hizi mambo yalivyo kukaa na mtu msinanihino mtakuwa mnadanganyana...sema mnanihino kwa utaratibu unaoleweka....bila kucheat...na mapenzi yawepo pia....mimi msichana akijidai hataki kunanihini wala siangalii nyuma namuacha kwa sababu atakuwa muongo(ulokole feki)
 
mmmhhh hata kama ndugu yangu ndo mtu kila mkiwasiliana anakueleza gesti ya kufikia!!!!!!!!!ina maana hamna mambo mengine ya maisha ya kujadili???????hapana aisee that is toooo much and too much is always harmful.
inategemea na mazingira....najua watakuja watu watakudanganya...lakini siku hizi mambo yalivyo kukaa na mtu msinanihino mtakuwa mnadanganyana...sema mnanihino kwa utaratibu unaoleweka....bila kucheat...na mapenzi yawepo pia....mimi msichana akijidai hataki kunanihini wala siangalii nyuma namuacha kwa sababu atakuwa muongo(ulokole feki)
 
mmmhhh hata kama ndugu yangu ndo mtu kila mkiwasiliana anakueleza gesti ya kufikia!!!!!!!!!ina maana hamna mambo mengine ya maisha ya kujadili???????hapana aisee that is toooo much and too much is always harmful.
ila mimi navyojua hii ni one sided story....ukiona mtu anabana sana ujue hampendi huyo mtu....mtu kama mnapendana hata kwenye gari....ulishawahi kumpenda mtu au kupendana mapenzi yakatune in same rythim wewe...?
 
piga chini huyo hana maana maswala ya kugegedana kila mwezi ujinga mtupu.......!! kwa sababu ni mpenzi at least baada ya miezi sita ndo ugegedwe loh!!!
Umeona!!!!!! Nshamwambia we have to talk,iam bold enough to put it in black and white
 
Bora kama hujapofushwa na mapenzi mkuu,kwa ufupi huyo mpenzio yupo kimwili zaidi yaani yupo na wewe sana sana ili atimize haja zake za kimwili,mwache mara moja mwaya maanake ukizidi kumg'ang'ania sina shaka kuna siku nyingine utakuja na topic mpya hapa ya kuachwa bila sababu unaomba ushauri,chukua maamuzi magumu mwayego.
Yaani he is my type,he has everything that I need in a man and iam ready to compromise ila sio in sex before marriage, hapo ntamwacha tu aende
 
ila mimi navyojua hii ni one sided story....ukiona mtu anabana sana ujue hampendi huyo mtu....mtu kama mnapendana hata kwenye gari....ulishawahi kumpenda mtu au kupendana mapenzi yakatune in same rythim wewe...?
.
Nampenda sana tu tena Mi huwa sijalishwi na uchumi wa mtu Ila naona size yake ni wale wa mizinga tu
 
.
Nampenda sana tu tena Mi huwa sijalishwi na uchumi wa mtu Ila naona size yake ni wale wa mizinga tu

Akikugegeda hujisikii raha utamu? Nna imani angekuwa anakupa haya makitu wewe ndo ungekuwa unamsumbua kwa kujitanguliza kiblah kila uchao.
 
mmmhhh hata kama ndugu yangu ndo mtu kila mkiwasiliana anakueleza gesti ya kufikia!!!!!!!!!ina maana hamna mambo mengine ya maisha ya kujadili???????hapana aisee that is toooo much and too much is always harmful.
Jiulize na wewe. Lol,mi nshamsoma hapa natembea tu na gap
 
Akikugegeda hujisikii raha utamu? Nna imani angekuwa anakupa haya makitu wewe ndo ungekuwa unamsumbua kwa kujitanguliza kiblah kila uchao.
He he he he,umenichekesha kweli, nijikute tu natumika kama vile mke!!!!to hell with him
 
piga chini huyo hana maana maswala ya kugegedana kila mwezi ujinga mtupu.......!! kwa sababu ni mpenzi at least baada ya miezi sita ndo ugegedwe loh!!!

R u serious?? Jamani miez sita kwa mwanaume labda awe hajawah
 
inategemea na mazingira....najua watakuja watu watakudanganya...lakini siku hizi mambo yalivyo kukaa na mtu msinanihino mtakuwa mnadanganyana...sema mnanihino kwa utaratibu unaoleweka....bila kucheat...na mapenzi yawepo pia....mimi msichana akijidai hataki kunanihini wala siangalii nyuma namuacha kwa sababu atakuwa muongo(ulokole feki)
hayo mapenz yenyewe ata siyaoni
 
.
Nampenda sana tu tena Mi huwa sijalishwi na uchumi wa mtu Ila naona size yake ni wale wa mizinga tu
......kuna kitu lakin nashidwa kukielezea.....lkn kwa mambo yalivyo siku hizi kama kweeli mnapendana kisawasa mambo ya kunanihii yanakuja automaticaly wala hamlazimishani....yaani yanakuja yenyewe bila hata kupanga...kama mkipendana vizuri lakini...ila ukiona hupendezwi au hupendi hayo mambo...anagalia vzr hamna kitu hapo..matazinguana baadae.......hakuna mwanamke anaye mpenda mwanaume kwa dhati akalalamika anamgegeda sana
 
......kuna kitu lakin nashidwa kukielezea.....lkn kwa mambo yalivyo siku hizi kama kweeli mnapendana kisawasa mambo ya kunanihii yanakuja automaticaly wala hamlazimishani....yaani yanakuja yenyewe bila hata kupanga...kama mkipendana vizuri lakini...ila ukiona hupendezwi au hupendi hayo mambo...anagalia vzr hamna kitu hapo..matazinguana baadae.......hakuna mwanamke anaye mpenda mwanaume kwa dhati akalalamika anamgegeda sana
Mi silalamiki ila tu najiuliza kwani mapenzi ni ngono tu nowadays!!!!!!
 
Mi silalamiki ila tu najiuliza kwani mapenzi ni ngono tu nowadays!!!!!!
...mapenzi yenyewe ni ngono kivipi...basi ninyi hampendani...yaani hamna mapenzi kati yenu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom