Kaliculus
JF-Expert Member
- Nov 8, 2019
- 271
- 246
Komputa yangu inatoa mesej hii, tatizo nini?View attachment 1297570
Sent using Jamii Forums mobile app
Ibamize chini
Iache mbaka hizo 30% zi complete zenyewe kisha itajirestart yenyewe auto kifupi iache halafu angalia kama hizo 30% zinapungua au zinapanda mbaka 100% itaendelea kama kawaidaKomputa yangu inatoa mesej hii, tatizo nini?
[ATTACH type="full" alt="IMG-
20191208-WA0002.jpeg"]1297570[/ATTACH]
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅Nimeona kutatuliwa nikastuka maana vijana mnataka demokrasia za ajabu siku hizi
Pitia haya maelezo hapa utapata mwanga: Everything You Need To Know About the Blue Screen of DeathKompyuta yangu inatoa meseji hii, tatizo nini?
Sawa mkuuIache mbaka hizo 30% zi complete zenyewe kisha itajirestart yenyewe auto kifupi iache halafu angalia kama hizo 30% zinapungua au zinapanda mbaka 100% itaendelea kama kawaida
Inaonekana ndio mchezo wako aiseeNimeona kutatuliwa nikastuka maana vijana mnataka demokrasia za ajabu siku hizi
Pitia haya maelezo hapa utapata mwanga: Everything You Need To Know About the Blue Screen of Death
- HDD ikiwa mbovu hilo tatizo pia hutokea, Tafuta HDD ya pili weka window upya update driver na itakuwa sawa kuendelea na kazi.
Acheni utoto ..Ibamize chini
kiukweli ni simple sana wundow 8 hadi 10 na matoleo yake yamekua kero kubwa sana hasa kwa machine za kizamani computer au zenye ram ndogo na vitu vingine badilisha OS yaani window weka 7 na kama unataka kuendelea na izo 8........hadi 10 basi weka RAM ianzie na GB 2 na kuendeleaa itasaidia sana mkuu