Nisaidieni kuhusu TANESCO

doris mwakitalima

New Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
3
Reaction score
0
Jamani mmii kwenye idara hii mgeni ila nataka mnisaidie kuhusu TANESCO. Kwetu kuna mstim mrefu sana, wiki moja na nusu hivi zilizopita mvua ilikua inanyesha mara umeme ukakati na ilikua usiku sana asubuhi tukagundua kua umeme ulikua umekwisha, tulivyoangalia tukakuta waya ambao TANESCO waliusifia sana kama miezi miwili iliyopita haupo. Umeibiwa tumeripoti TANESCO lakini jibu nitutakuja. Nina wiki sina umeme na wamesema lazima nilipie jamani kweli wire watangu mwaka72 umeibiwa leo tena kule juu.

Wenye ujuzi ni TANESCO nisaidieni niende jamani
 
Tafta mahala pa kuiweka hiyo masa yako mkubwa...hapa siyo penyewe yawezekana ukapata majibu/ushauli usiokuwa sahihi kiongozi.

Itaftie sehem nyingine.
 


tulia andika vizuri .. ueleweki..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…