Mimi ni mdau upya kwenye ili jukwaa nimejiunga mda si mrefu sana kutokana na kufatilia maada za humu ndani zinafundisha sana thus why imenibidi na mm nitoe la moyoni.ilikuwa ni mwaka elfu mbili na tisa mwishoni nilipokuwa nafanya kazi maeneo masaki nilimuona binti mmoja yupo dukani kwenye jengo nilipokuwa napiga mzigo yeye yupo chini mm nipo floor ya juu kwa kuwa nilikuwa maarufu pale nikauliza wale wasaidizi wa hapo dukani uyo binti wa wapi wakaniambia ni mtoto wa mwenye duka itaendelea