Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Watu wangu wa nguvu mpo?
Niliadimika kidogo katika jukwaa letu, kwa ambao naonekana mgeni kwenu wala msiwaze mkadhani mumeingiliwa... Mie ni mwanafamilia wa CC niliyerudi kundini.
Sema yote tisa, nimesahau jinsi ya kuanzisha uzi wadau, zamani uzi wa CC ulikuwa si mrefu sana na ilikuwa lazima upaishe watu ndo ueleweke mfano wapi papaa Judgement, mamaa ya nguvu Rich woman, pedeshee Baba V na Nzambe, platozoom mutu ya nguvu, Mama Cantalisia na kati ya Sinza, wapi watu8 mutu ya faranga na kadhalika na kadhalika...
Aliye tayari ajitolee kunipamo maelekezo ya awali.
Niliadimika kidogo katika jukwaa letu, kwa ambao naonekana mgeni kwenu wala msiwaze mkadhani mumeingiliwa... Mie ni mwanafamilia wa CC niliyerudi kundini.
Sema yote tisa, nimesahau jinsi ya kuanzisha uzi wadau, zamani uzi wa CC ulikuwa si mrefu sana na ilikuwa lazima upaishe watu ndo ueleweke mfano wapi papaa Judgement, mamaa ya nguvu Rich woman, pedeshee Baba V na Nzambe, platozoom mutu ya nguvu, Mama Cantalisia na kati ya Sinza, wapi watu8 mutu ya faranga na kadhalika na kadhalika...
Aliye tayari ajitolee kunipamo maelekezo ya awali.
Last edited by a moderator: