Nisaidieni jamani

Kimbia dada yngu,tena usijaribu kurud nyuma kabsaaa,huyo si mwanaume wako amin nakembia,wakwako anakuja wala usiogope stil unamuda wa kutosha as ling as unaweza kujimudu na maisha yako.
 
pole sana,mnapanga mipango yote hiyo bila kwenda kwao wala kuwaona wazazi wake kweli love is blind
NB: OGOPA WANAUME WA KENYA NI SHIDAAAAAAAA
 
Matatizo yanaepukika, kama yanaepukika, basi wewe yaepuke.

Achana nae huyo jamaa
 
Hata kama una utayari wa kuwa mke mwenza tafuta mume aliyenona...acha kutumika...
Mimi nitamwelewa mtu anayeolewa na kijana aso na pesa kama first wife...(wanatafuta wote)

Lakini second wife...hicho kitakuwa ni kituko...maana hata hizo dini zinazoruhusu uke wenza zinaongelea uwezo wa kuwatimizia...
 
Afu jamani muwe makini na hawa so called foreigners...wengi ni liars na huwezi jua ukweli kwani ni ngumu kupeleleza mtu wa nchi nyingine...

Tena wewe una bahati...ungejashtuka tayari una watoto wawili...kujinasua huwezi..
 
Pole sana,nashindwa kuelewa watz tuna tatizo gani,madini yetu yaibiwe,gesi yetu iibiwe dada zetu wanatapeliwa
kweli hata nikikupa ushauri naogopa nao matapeli watautapeli tu yaani ni shida!

hahahahah nimeshashauriwa ndugu na uwamuzi nimeshachukua
 
Unaposema hutapata mtu mwingine sikuelewi! Hapo my dia hamna future, anza maisha mapya. Jamaa anaonekana muongo muongo sana na ameshakusoma kuwa kwake hupindui ndo mana hata anafanya hayo yote. Kimbia mdogo wangu hilo jumba bovu

asante sana Mama yake P nimeshakimbia dada yangu niko kwa mama yangu leo nimerudi kujiweka sawa kidogo nirudi tena kujitegemea
 
mwe! mambo yako waziiii ila waswahili wa daladala wanasema "mkanye akirudi".
 
ifanye iwe historia.... anza maisha mapya..... uongo wake umetukuka maana katika kila plan mliyoshirikiana kuweka mwenzio ana zakwake ambazo hakuhusishi.... yote katka yote tafuta PERFECT LIFE.... hii uliyonayo ina dosari za kutosha
 
Utakuwa umekatwa kichwa wewe si bure...
 
mtu kama huyo ipo siku atakuibia mali zako utakuja kutulilia hapo jf
 
hahahahah nimeshashauriwa ndugu na uwamuzi nimeshachukua
Afadhari,zingatia na usirudi nyuma.Ninachojua ninyi wadada mnashauriwa vizuri mnakubali,akija jamaa akakupiga sound na kuomba msamaha wa uongo-uongo,Utashangaa msamaha anaomba yeye,machozi unalia wewe
papuchi utampa na utamkopea fedha nyingine.Na baadaye tutakutana humu tena ila naamini utabadilisha ID au utasema shoga angu kafanyiwa hivi na vile.
Lakini kama umeshika ulichoshauriwa shika sana,najua huyo jamaa atarudi tu kukuchuna trust me.
 
Acha utoto anaogopa kuachana nae kwa kuwa nae mwaka mmoja wakati sisi tumekaa mpaka minne na tulipoona usaliti tuliacha pia unasema haupo tayari kuwa mke wa pili huo ndio ukweli jaama ana mke na watoto wa nne unadhani utabadili hilo? amua na kata mawasiliano utasahau tu baada ya miezi 6
 
ivi kunawanawake wengine kama wamerogwa sijui au ni kitu gani??? kwanza nikuulize ingekuwa wewe ndio huyo dada ungejisikiaje?? maana hapo mwanzo umesema umemwone huruma sana? sasa saivi unataka ndoa na wewe hounekane mke wa fulani au mwizi wa mume wa mtu me sione point yako hasa ni nini dada. sikiza wewe kama umeamua kuwa mtoaa misaada wa familia za watu basi saidia ila helewa mwenye tabia haacha ata achembe baada ya wewe atatafuta mwingine watatu mwenye kipato kikubwa kuzidi wewe ili awasaidie kulea vizuri na maisha yaendelee, alafu jua kwamba umependewe hela za wala hauna lolote la kumzidi huyo mwingine, bidada tafuta wakwako kama yupo yupo tu huyo hakufai jua wala kwenye masika. salt jibu la uyaya wala halimfai huyo kizambina"" bi dada tulia upate wako umri ni namba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…