- Thread starter
- #21
Naficha nini kwani unanijua? Huo ndio ukweli. hata nikisema ni mwanangu, kwani utamjua?
Si useme tu kuwa ni mwanao?
Si useme tu kuwa ni mwanao?
exactlyYAAN ukijumlisha principal za masomo mawili zifike points 4 au zaid.. mfano CE,DD
so asikalili D mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani that time when you were at MATI-Mtwara it was me who was looking for an admission? Not at all! Mimi nimemaliza UDSM 1986. Nilikuwa nashughulikia ndugu ndugu!~ na bado nawahangaikia wengine!Kumbe ww ni babu yangu kabisa, kwahyo yule uliyetaka kumpeleka mati Mtwara ni mjukuu wako wa ngapi..?
Muingie wote kwenye website ya TCU muangalie wote qualifications, asipoelewa basi naomba umpe nauli aende TCU mwenyewe apate uhakika, naamini baada ya hapo hatakusumbua tena.Asante, namwelewesha hasikii
You are absolutely right! Definitely hajafeli, ni grading system ya Tanzania ambayo inasema 40-49 marks ni E. Lakini kwa A level, tena PCB, hizo si marks ndogo kuwa huyu mtu hafai!2016 kushuka chini alikuwa na sifa,maana vigezo vilikuwa two principal passes.Nina rafiki zangu wamesoma Phamacy level ya degree wakiwa na E zote tena Bugando. Mwambie dogo hajafeli ili wakati tu.