unachoogopa hasa ni nini? Labda nianze kwa kukuuliza hiyo kazi umeipataje pataje? Ulifanya usaili? Na kama haukufanya huyo Mzee alikujuaje? Na kama c ndugu yako, mna mahusiano gani? Ukiweza kujibu hayo maswali
vizuri tutajua kama unaiweza hiyo kazi au laah,QUOTE]
ni hvii...nlijitoleaga kufanya kaz na mzee mmoja ambae ni accountant(coy binafsi)..nlikuwa msaidz wake... mzee ambae anataka kuniajiri tulimfanyia
kaz yake yakumfungia mahesabu kwenye restaurant yake..akawahi kumwambia
yule boss wangu kwamba nmempenda huyu dada ningependa kufanyanae kazi! Npe cv yake...boss wangu akampa...lkn akawa kimyaaaa! Baada ya mda me nkaacha ile kaz kwa yule mzee baada ya nauli kuniishia..na alikuwa hanpi hata kumi!Jana wakat napitapita na cv zangu huko town nkakutananae huu mzee anaetaka kuniajiri akaniita tukaingia ofsn kwake tukaongea...akanambia anahtaj kufanyakaz na mimi....ndo km ivo ndugu yangu! C ndugu yangu