KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 278
Nataka nione km ww ni mjanja na mzaliwa wa TZ,ni mji gani una majengo ya kifahari na jina la mji huo ni kifaa kitumikacho MSIKITINI NA KANISANI na vile vile jina la mji hilo ni jina la msanii wa BONGO MOVIE