nisaidieni camera yangu ya digital haitoi picha nzuri kabisaaaaa

viane

Member
Mar 26, 2012
79
18
Nimeinunua sapna laki 420000 ni olympus,,,,,model no TG-310 nimejaribu kufanya setting lakini bado,,,, naomba kwa anayejua anijuze please
 
Pole sana,itakua ni setting tuu,ina megapixel ngapi?jaribu ku google hiyo model utapata maelezo mazuri,au kama vp irudishe wakuwekee settings!
 
Mambo samsung...hiyo hata kama umenunua sapna ni ya kichina
 
Watu wengine bana,nnadhana ungetaka kitu kzr ni sony o sumsung,
Haya sasa anza ku google.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
MP ngapi??inawezekana ni ya chini then wamekushika ukatoa kias hicho kwa product hafifu
 
Tatizo hapa WaTz wengi akili zetu zinakua finyu kamera hii umenunua 420000 kwakua ni sapna au mlimani city wakati kariakoo hii kamera tunauza 150,000 tunaibiwa hawa jamaa huwa wanakuja kuchukua cm na kamera wanawambia ni org lkn iyo kamera ifanyie restore upya.
 
Maduka ya posta, kariakoo, mliman city na sehem nyingi tanzania yana tabia ya ku overate price kupata supernormal profit, ukifanikiwa kwenda nchi za watu asia au europe jaribu kuingia kwenye store zao like samsung shop, sony shop na zinginezo utaona bongo wanavyozidisha bei,

Almost a month ago niliingia kwenye sony shop hyderabad, nikakuta ps3 usd 299 wakati bongo ni kuanzia lak 8 na kuendelea, mliman city ndo 1.3m, nikanunua sony digital camera ya 15.1 megapixel kwa usd 100 tena na warrany card ya 3 year, nikapita pita kwenye mobile shops HTC, apple store and nokia house, yaan vitu bei ni reasonable vibaya, so hiyo camera I am sure sio ya bei hiyo lazima wamekupiga, mjifunze kununua online, au kuwatuma marafik na majiran wanaoenda nje mnapoitaji kitu as bei zake zinawekwa online so hakudanganyi kitu, kwa hiyo bei camera yako inatakiwa isiwa chini ya 20 megapixel, maana hata hiyo samsung smart camera inauzwa usd 300...
 
Back
Top Bottom