Timoso Senior Member May 27, 2012 135 23 Jul 20, 2012 #1 nahitaji kujua bei ya new blackberry 8830 world edition hapa bongo. msaada wenu wakuu
Timoso Senior Member May 27, 2012 135 23 Jul 20, 2012 Thread starter #3 nmegoogle mkuu, but sijapata exact bei kwa apa bongo. inanletea bei za ughaibuni tu
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jul 20, 2012 #4 Timoso said: nmegoogle mkuu, but sijapata exact bei kwa apa bongo. inanletea bei za ughaibuni tu Click to expand... una laki na nusu nikuletee? nikuagizie?
Timoso said: nmegoogle mkuu, but sijapata exact bei kwa apa bongo. inanletea bei za ughaibuni tu Click to expand... una laki na nusu nikuletee? nikuagizie?
Chipukizi JF-Expert Member Mar 12, 2009 3,952 5,982 Jul 20, 2012 #6 Mbona simu yenyewe ni ya zamani sana.mpya akuna zipo used tu
Uncle Rukus JF-Expert Member Jun 16, 2010 2,415 398 Jul 20, 2012 #7 Kuliko kununua BB hii ni bora kununua BB Pearl 8100 ambayo angalau ina camera kuliko 8830WE ambayo haina Camera na kwenye net inasumbua sana.. Unaweza kuipata kwa tsh 150,000 laki moja na nusu..
Kuliko kununua BB hii ni bora kununua BB Pearl 8100 ambayo angalau ina camera kuliko 8830WE ambayo haina Camera na kwenye net inasumbua sana.. Unaweza kuipata kwa tsh 150,000 laki moja na nusu..