khe!ajabu nyingine!out of no where kapeleka barua?siyo mlikuwa mnawasiliana bado?je alishindwa nini kuwakomvis wazazi wake mwanzo?kuwa na msimamo songa mbele:car:
Kosa ni lako toka mwanzo. Kwanini ulipunguza mapenzi kwa BF wa mwanzo pale ulipokataliwa wakati yeye alikuwa bado anaonesha mapenzi yake yote kwako? kwanini ulimpush away? ulikata mawasiliano nae? Inaonekana u mtu wa kukata tamaa mapema na sio mvumilivu na jasiri kama mwenzio ambaye ameweza kuvumilia na kuwaconvice wazazi wake mpk kukubali.
By The Way: Siwezi kukuconvince umchague yupi kutokana na maelezo yako haya, suala la ndoa ni nyeti na linabidi kuangalia vigezo vingi. U need to measure yourself, nani mwenye upendo wa kweli, pia ondoa chuki ulizozijenga kwa BF wako wa kwanza.
huyu wa sasa unampenda kwa sababu unampenda au kwa sababu uko nae karibu(ia) mwaka mzima?
Unaweza ukaolewa na wote coz jina lako hilo linaruhusu .....unajua maana y jina lako lkn?
Unajua una mambo ya ajabu sana unaulza kwa nini hakufanya hvo mwanzo wakat wewe ndo ulikata mawasiliano mwanzo ulitaka afanye nini uamuz unao cz unajua unaempenda
mhh! kama sijaelewa mambo fulani fulani; yaani ulipoelezwa tu UKAPUNGUZA MAPENZI, wajuaje kama alikuwa anajaribu kuona ni kiasi gani uko serious naye?? nyekundu: aliendelea kukufata lakini ukawa unakata mawasiliano, kimsingi ulikuwa hujampenda huyu bwana: kwanini usimweleze ukweli kuwa toka mwanzo ulikuwa umpendi??? lazima uchanganyikiwe kwa kuwa ulimlaghai huyu bwana..! kimsingi wewe ndo humfai..bora uende kwa huyo wa sasa! kama amepeleka posa, c uwaambie tu wazazi waikatae nawe uwasingizie! unachanganyikiwa kitu ghani??? kimsingi huwezi panda farasi wawili! amua, chukua hatua! alafu nahisi kama ni mimi vile![/QUOTE]
Mbona unanitisha sasa
Reference ipi mydia, walitaka kabila lao, mzaramo leo wanamuona muhehe!? haipo hiyo awatose tu na limsafara lao!
Nilikuwa na BF wangu tukapenda sana mpaka tukakubaliana kuona kwenda kwa wazazi wake wakanikataa eti kabila tofauti aoe kabila yake baada ya kuambiwa hivyo mie mapenzi yakapungua kabisa, na yeye aliona akawa hataki kunielewa nikawa nakata mawasiliano kabisa na yeye wala sikumuhitaji tena. Nimepata BF mwingine last year tumependana na tumekubaliana kuoa mwezi wa tisa sasa huyu jamaa kasikia kuwa nataka kuolewa kawaconvince wazazi wake wanikubali kafanikiwa naye kapeleka barua kwetu jana nimechanganyikiwa na maswali yafuatayo:
1. Nifanyeje
2. Kwanini kama kweli ananipenda hakufanya hivyo toka mwanzo kuwaconvince wazazi wake?
3. Mapenzi yangu yako kwa huyu wa sasa maana niko nae karibu mwaka sasa na sitaki kumuumiza
Asante kwa ushauri wenu
Mawasiliano yalikuwepo ya kusalimiana tu lakini nimeshangaa katuma watu home
I love him
Mkubwa unadiscuss jina langu au unanisaidia mawazo???? Please :focus:
Hivi kwa nini unakuja na majina (ID) nyingi humu ndani?
Wewe ni Fanta Face au Mamuu55
Hii ni kero, tuna hakika gani kwamba hichi kisa hujakitunga??
AARGGHH
Yaani ???
Mawasiliano yalikuwepo ya kusalimiana tu lakini nimeshangaa katuma watu home
Ha ha ha ha umeniwahi mpendwa acha bana umeona eehhh
Niliwahi kuwa na BF miaka kama mitano hivi imepita tulipendana sana lakini ikaja swala la dini tukashindwa kuoana yeye alioa dini yake, baada ya kutaka kuoa nilimwambia sina jinsi wazazi hawataki kusikia hiyo habari, nikamruhusu bila kinyongo hata harusi nilihudhuria, tulikuwa na mawasiliano ya kawaida tu bila kufanya chochote maana sipendi kumkosea mwanamke mwenzangu yaani mkewe, sasa limekuja swala kwamba mkewe kajifungua mtoto wa kike yapata miezi kama minne hivi mimi sikujua kumbe yule mwanaume kampa jina langu yule mtoto na mkewe ananifahamu, sasa yaani nimekaa katika mateso makubwa sana ni msg, simu za matusi kutoka kwa mkewe eti iweje mumewe ampe jina langu mtoto wake, niko njia panda mwenzenu, huyo mwanaume nimemuuliza anasema mimi ndio baba mwenye nyumba nimesema mtoto jina lake ni Fanta Face nimemaliza, nisaidieni ushauri wakubwa nifanyeje
Nilikuwa na BF wangu tukapenda sana mpaka tukakubaliana kuona kwenda kwa wazazi wake wakanikataa eti kabila tofauti aoe kabila yake baada ya kuambiwa hivyo mie mapenzi yakapungua kabisa, na yeye aliona akawa hataki kunielewa nikawa nakata mawasiliano kabisa na yeye wala sikumuhitaji tena. Nimepata BF mwingine last year tumependana na tumekubaliana kuoa mwezi wa tisa sasa huyu jamaa kasikia kuwa nataka kuolewa kawaconvince wazazi wake wanikubali kafanikiwa naye kapeleka barua kwetu jana nimechanganyikiwa na maswali yafuatayo:
1. Nifanyeje
2. Kwanini kama kweli ananipenda hakufanya hivyo toka mwanzo kuwaconvince wazazi wake?
3. Mapenzi yangu yako kwa huyu wa sasa maana niko nae karibu mwaka sasa na sitaki kumuumiza
Asante kwa ushauri wenu
Wamezi sana hawa ....ona anavyojichanganya sasa!!
Huu ni uj***!! Alaaaa
Halafu leo unaongea haya....
Sijui mnatufanya watoto humu ndani...mtaacha tuwalaani bure....hii ni nini sasa??
Hii kitu imenifanya nimetukanwa leo tukisema tunaambiwa tuache umbea bora umesema wewe leo maana ningesema mimi PM za matusi kibao zingejaa kwenye inbox yangu
Hii kitu imenifanya nimetukanwa leo tukisema tunaambiwa tuache umbea bora umesema wewe leo maana ningesema mimi PM za matusi kibao zingejaa kwenye inbox yangu
khe!mama pole,,,kumbe mbona hizi sred zinachanganya?sasa ni ili nini jamani?