Nisaidie maoni/ushauri/mawazo

huyu wa sasa unampenda kwa sababu unampenda au kwa sababu uko nae karibu(ia) mwaka mzima?
 
Kosa ni lako toka mwanzo. Kwanini ulipunguza mapenzi kwa BF wa mwanzo pale ulipokataliwa wakati yeye alikuwa bado anaonesha mapenzi yake yote kwako? kwanini ulimpush away? ulikata mawasiliano nae? Inaonekana u mtu wa kukata tamaa mapema na sio mvumilivu na jasiri kama mwenzio ambaye ameweza kuvumilia na kuwaconvice wazazi wake mpk kukubali.

By The Way: Siwezi kukuconvince umchague yupi kutokana na maelezo yako haya, suala la ndoa ni nyeti na linabidi kuangalia vigezo vingi. U need to measure yourself, nani mwenye upendo wa kweli, pia ondoa chuki ulizozijenga kwa BF wako wa kwanza.
 
Hapo no discussion endelea na huyo wapili kwani huyo wa kwanza ana wivu wa kuku si wa mapenzi ya kweli, si unajua tabia ya kuku? Hataki kuona mwenzie akipata hata kama yeye kazungukwa na wanne.
 
Sikiliza dada yangu mpendwa,mimi naona uyo BF wa kwanza anatakiwa akapate kikombe kwa babu kwani atakutesa on tym2 na familia yake so wewe kuwanaye wa sasa tu.
 
khe!ajabu nyingine!out of no where kapeleka barua?siyo mlikuwa mnawasiliana bado?je alishindwa nini kuwakomvis wazazi wake mwanzo?kuwa na msimamo songa mbele:car:

Mawasiliano yalikuwepo ya kusalimiana tu lakini nimeshangaa katuma watu home
 
Kosa ni lako toka mwanzo. Kwanini ulipunguza mapenzi kwa BF wa mwanzo pale ulipokataliwa wakati yeye alikuwa bado anaonesha mapenzi yake yote kwako? kwanini ulimpush away? ulikata mawasiliano nae? Inaonekana u mtu wa kukata tamaa mapema na sio mvumilivu na jasiri kama mwenzio ambaye ameweza kuvumilia na kuwaconvice wazazi wake mpk kukubali.

By The Way: Siwezi kukuconvince umchague yupi kutokana na maelezo yako haya, suala la ndoa ni nyeti na linabidi kuangalia vigezo vingi. U need to measure yourself, nani mwenye upendo wa kweli, pia ondoa chuki ulizozijenga kwa BF wako wa kwanza.

Asante kwa ushauri wako
 
mhh! kama sijaelewa mambo fulani fulani; yaani ulipoelezwa tu UKAPUNGUZA MAPENZI, wajuaje kama alikuwa anajaribu kuona ni kiasi gani uko serious naye?? nyekundu: aliendelea kukufata lakini ukawa unakata mawasiliano, kimsingi ulikuwa hujampenda huyu bwana: kwanini usimweleze ukweli kuwa toka mwanzo ulikuwa umpendi??? lazima uchanganyikiwe kwa kuwa ulimlaghai huyu bwana..! kimsingi wewe ndo humfai..bora uende kwa huyo wa sasa! kama amepeleka posa, c uwaambie tu wazazi waikatae nawe uwasingizie! unachanganyikiwa kitu ghani??? kimsingi huwezi panda farasi wawili! amua, chukua hatua! alafu nahisi kama ni mimi vile![/QUOTE]

Mbona unanitisha sasa
 
Hivi kwa nini unakuja na majina (ID) nyingi humu ndani?

Wewe ni Fanta Face au Mamuu55

Hii ni kero, tuna hakika gani kwamba hichi kisa hujakitunga??
AARGGHH

Yaani ???

Nilikuwa na BF wangu tukapenda sana mpaka tukakubaliana kuona kwenda kwa wazazi wake wakanikataa eti kabila tofauti aoe kabila yake baada ya kuambiwa hivyo mie mapenzi yakapungua kabisa, na yeye aliona akawa hataki kunielewa nikawa nakata mawasiliano kabisa na yeye wala sikumuhitaji tena. Nimepata BF mwingine last year tumependana na tumekubaliana kuoa mwezi wa tisa sasa huyu jamaa kasikia kuwa nataka kuolewa kawaconvince wazazi wake wanikubali kafanikiwa naye kapeleka barua kwetu jana nimechanganyikiwa na maswali yafuatayo:

1. Nifanyeje
2. Kwanini kama kweli ananipenda hakufanya hivyo toka mwanzo kuwaconvince wazazi wake?
3. Mapenzi yangu yako kwa huyu wa sasa maana niko nae karibu mwaka sasa na sitaki kumuumiza

Asante kwa ushauri wenu

Mawasiliano yalikuwepo ya kusalimiana tu lakini nimeshangaa katuma watu home

I love him

Mkubwa unadiscuss jina langu au unanisaidia mawazo???? Please :focus:
 
Hivi kwa nini unakuja na majina (ID) nyingi humu ndani?

Wewe ni Fanta Face au Mamuu55

Hii ni kero, tuna hakika gani kwamba hichi kisa hujakitunga??
AARGGHH

Yaani ???

Ha ha ha ha umeniwahi mpendwa acha bana umeona eehhh
 
Ha ha ha ha umeniwahi mpendwa acha bana umeona eehhh

Wamezidi sana hawa ....ona anavyojichanganya sasa!!


Niliwahi kuwa na BF miaka kama mitano hivi imepita tulipendana sana lakini ikaja swala la dini tukashindwa kuoana yeye alioa dini yake, baada ya kutaka kuoa nilimwambia sina jinsi wazazi hawataki kusikia hiyo habari, nikamruhusu bila kinyongo hata harusi nilihudhuria, tulikuwa na mawasiliano ya kawaida tu bila kufanya chochote maana sipendi kumkosea mwanamke mwenzangu yaani mkewe, sasa limekuja swala kwamba mkewe kajifungua mtoto wa kike yapata miezi kama minne hivi mimi sikujua kumbe yule mwanaume kampa jina langu yule mtoto na mkewe ananifahamu, sasa yaani nimekaa katika mateso makubwa sana ni msg, simu za matusi kutoka kwa mkewe eti iweje mumewe ampe jina langu mtoto wake, niko njia panda mwenzenu, huyo mwanaume nimemuuliza anasema mimi ndio baba mwenye nyumba nimesema mtoto jina lake ni Fanta Face nimemaliza, nisaidieni ushauri wakubwa nifanyeje

Huu ni uj***!! Alaaaa

Halafu leo unaongea haya....

Nilikuwa na BF wangu tukapenda sana mpaka tukakubaliana kuona kwenda kwa wazazi wake wakanikataa eti kabila tofauti aoe kabila yake baada ya kuambiwa hivyo mie mapenzi yakapungua kabisa, na yeye aliona akawa hataki kunielewa nikawa nakata mawasiliano kabisa na yeye wala sikumuhitaji tena. Nimepata BF mwingine last year tumependana na tumekubaliana kuoa mwezi wa tisa sasa huyu jamaa kasikia kuwa nataka kuolewa kawaconvince wazazi wake wanikubali kafanikiwa naye kapeleka barua kwetu jana nimechanganyikiwa na maswali yafuatayo:

1. Nifanyeje
2. Kwanini kama kweli ananipenda hakufanya hivyo toka mwanzo kuwaconvince wazazi wake?
3. Mapenzi yangu yako kwa huyu wa sasa maana niko nae karibu mwaka sasa na sitaki kumuumiza

Asante kwa ushauri wenu


Sijui mnatufanya watoto humu ndani...mtaacha tuwalaani bure....hii ni nini sasa??
 
Wamezi sana hawa ....ona anavyojichanganya sasa!!




Huu ni uj***!! Alaaaa

Halafu leo unaongea haya....




Sijui mnatufanya watoto humu ndani...mtaacha tuwalaani bure....hii ni nini sasa??

Hii kitu imenifanya nimetukanwa leo tukisema tunaambiwa tuache umbea bora umesema wewe leo maana ningesema mimi PM za matusi kibao zingejaa kwenye inbox yangu
 
Hii kitu imenifanya nimetukanwa leo tukisema tunaambiwa tuache umbea bora umesema wewe leo maana ningesema mimi PM za matusi kibao zingejaa kwenye inbox yangu

khe!mama pole,,,kumbe mbona hizi sred zinachanganya?sasa ni ili nini jamani?
 
Hii kitu imenifanya nimetukanwa leo tukisema tunaambiwa tuache umbea bora umesema wewe leo maana ningesema mimi PM za matusi kibao zingejaa kwenye inbox yangu

Pole sana.. ndo maisha..wakati mwingine mtu unajawa na huruma ya kutaka kusaidia kwa moyo wote, lakini watu wanaleta michezo ya kitoto tu..
Usikate tamaa..endelea kuwapa ushauri
 
khe!mama pole,,,kumbe mbona hizi sred zinachanganya?sasa ni ili nini jamani?

Nimetoka kusema asubuhi watu waache kucheza na akili za watu wanaleta thread za uongo tunapoteza muda bure wewe kilichonipata ni PM za kutukanwa na kuambiwa niache umbea kama sura yangu ha ha ha ha nikacheka na kupotezea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom