Napenda kumshukuru mungu na wana jf wote kwa jumla nawasalimu,nimatumain yangu kuwa niwazima wa afya na upendo tele.nimebahatika kuitwa kwa interview post assistant accountant naomba msaada wenu wa common quest kwa post hii jamani najuwa hapa jf hakuna kinachoshindikana.wana jf wote nisaidie mdogo wenu.natanguliza shukuran za dhati.