nisaaidieni mawazo

joel amani

Senior Member
Nov 22, 2011
100
8
maisha yanazidi kuwa magumu kila siku kwa wananchi hasa sisi tulio na elimu duni na kipato kidogo,kiukweli nimeangaikia sana maisha lakini nazidi kukatika mtaji ingawa ulikuwa mdogo ila sasa umeisha na nimebakiwa na laki 4 tu na hizo ziwezi kuendesha biashara ya mwanzo ya nguo za mitumba mana nilikuwa na milioni 3,naishi kigamboni dar na nina mke na watoto na nyumba ya kuishi,mnisaidie mawazo hizo laki 4 nifanyie kitu gani angalau nipate ya kula na watoto na kulinda hako kamtaji? nategemea mawazo yenu
 
mmmh!!kiongozi,nini shida matumizi au hata wewe huelewi inakuwaje!!!
 
mmmh!!kiongozi,nini shida matumizi au hata wewe huelewi inakuwaje!!!

labda sijaeleweka vizuri,shida hapa ninaweza vipi kuzungusha hiyo iliyobaki ili iwe inanizalishia angalau ya kula,biashara aina yoyote niko tayari nikishauri cha msingi nisimwibie wala kumdhurumu mtu
 
labda sijaeleweka vizuri,shida hapa ninaweza vipi kuzungusha hiyo iliyobaki ili iwe inanizalishia angalau ya kula,biashara aina yoyote niko tayari nikishauri cha msingi nisimwibie wala kumdhurumu mtu
kiongozi!!mtaji uliokuwa nao awali ulikuwa mkubwa,ukaisha kiasi kikubwa,sasa kuutegemea huo mdogo itakuwa ngumu kidogo!ila kama unaweza kuuongeza kidogo ukapata japo milioni,inaweza kuwa nafuu ukifungua hizi benki za makampuni ya simu!!zinalipa,kama ukipata sehemu nzuri hela ya kula haita kuwa shida,jaribu!
 
Back
Top Bottom