MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,656
- 22,443
Mimi pia nilikua na tatizo kama la Mkuu wa chuo, nilijaribu njia zote zilizotolewa hpa bila mafanikio yoyote, Mwisho wa siku nili install LinuxMint badala ya Windows, baada ya kuinstall LinuxMint sijapata tatizo kama hilo tenaa.
NB: Hii unaweza kuitumia kama Option ya Mwisho kabisa
NB: Hii unaweza kuitumia kama Option ya Mwisho kabisa
Last edited by a moderator: