INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,337
karibuhabari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
Karibu sanahabari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
Naona wageni mnakaribishana. Kama hiyo picha ni yako Salome, uwe msomaji tu au uwe wa kusifia basi.karibu
Duhhhhabari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
nn tena mkuuDuhhh
mkuu mimi ni mstaarabu kwa kweli hata hvyo linasadifu ukweli ambao hautoki nadi ya hyo movie km ww ujuavyoKaribu sana jf. Muhimu ni kujiepusha tu na mambo ya uspartacus! Hatuyataki humu jf.
muhimu sana hii kitu mkuuNaona wageni mnakaribishana. Kama hiyo picha ni yako Salome, uwe msomaji tu au uwe wa kusifia basi.
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa
hapana siwezi nikawa mjukuu wako
Duh....hill shati uvccm limekaa njema.habari za wakti huu wapendwa.... kiufupi nimekuwa guest visitor wa jamii forums kwa kitambo kirefu tangu nimeijua sep.2017...kiukweli ni sehemu murua ambayo imenijuza mengi sana ambayo ni adimu kupata sehemu nyingine..natumaini nitazidi pata ushirikiano ksenu na kupanua zaidi mawanda ya ubongo wangu..
hapana kiongozi mm na hyo movie hatuna na uhusiano wowoteWe ndo yule mwigizaji wa muvi ya spartacus
unafeli mkuu tena kimisingi kabisaDuh....hill shati uvccm limekaa njema.
ahsante sana..muongozo tafadhalikaribu mkuu
ahsante sana..muongozo tafadhali
labda kassie wengne ni rika langu tu.......hahahahahausitusi mtu,huku kuna wakubwa wengine wanaweza kuwa wakwe zako...😁