Jamani kwa heshima na taadhima naomba mnipokee ndugu yenu, ninahisi kwa kuja hapa nitatua mizigo niliyonayo, naomba mnipokee kwanza, ili nikishakaribishwa ndani niweze kutoa yale yanayonisibu ili mnisaidie ushauri
Jamani kwa heshima na taadhima naomba mnipokee ndugu yenu, ninahisi kwa kuja hapa nitatua mizigo niliyonayo, naomba mnipokee kwanza, ili nikishakaribishwa ndani niweze kutoa yale yanayonisibu ili mnisaidie ushauri