Nipokeeni mie mgeni... Kwetu singidaaaa

Nipokeeni mie mgeni... Kwetu singidaaaa

Karibu wa Singapoo!
Tutafutie na Umm Kulthum amepotea nae ni wa hano'hano!
Karibu stressfree! Hapa UNA-RIRAX ARAFU UNASOMA!
 
Tahadhari

karibu sana!
Subiri ukaguzi kutoka kwa Babu Aspirin.

Narudia tena tahadhali kidole na macho.
 
umekuja na usafiri gani?...basi au punda?
 
Karibu sana isekuu wane. Jf ndo mambo yote. Walete na wengine wa ikungi.
 
Ahasante.. Ntamtafuta... Plz embu nisaidie mautundu zaidi..

Ntakupaje hayo makitu, hata sijakujua kama tunaingia choo kimoja!
Au tunapishana ! Mi choo chetu hata tusipochuchumaa twende kazz!
 
Kaibu sana msingida kwan ww ni mrengo wa kushoto au kulia? Faili lako halina virus?
 
wapi babu aspirini kuna mgeni huku amekuita doctor.sijui watibu nini
 
Back
Top Bottom