Hata kwa kukatwa panga,nipo tayari.
Nasema hivyo kwa sababu ninao uhakika wale jamaa hawana lolote!
Dalili ya mvua huwa ni mawingu.Hivi sasa hawa watu ni wakuonea huruma!Hawana masikini tumaini lolote!Wamebaki kudandia mambo ya ovyo kabisa!
Hivi,kushadadia askofu wa kikanisa amesema nini ndiyo sera?
Mbunge flani kasema kile ndiyo sera?
Mange amesema kile ndiyo sera?
Na mengine mengi!
Hawa ni watu sahihi kweli?!
Hata huo mwaka wakishika dola mm na niuawe!
Tahadhari......frustrations ni hatari sana kwa uhai wa fikra zakoHata kwa kukatwa panga,nipo tayari.
Nasema hivyo kwa sababu ninao uhakika wale jamaa hawana lolote!
Dalili ya mvua huwa ni mawingu.Hivi sasa hawa watu ni wakuonea huruma!Hawana masikini tumaini lolote!Wamebaki kudandia mambo ya ovyo kabisa!
Hivi,kushadadia askofu wa kikanisa amesema nini ndiyo sera?
Mbunge flani kasema kile ndiyo sera?
Mange amesema kile ndiyo sera?
Na mengine mengi!
Hawa ni watu sahihi kweli?!
Hata huo mwaka wakishika dola mm na niuawe!
Njaa yako inanihusu nini MIMI?Kutwa kuchwa unazungusha mikono unafikiri utaambulia japo kitu!Kafanye kazi masikini uli ule!Pole sana tumbo lililoshiba halimjui mwenye njaa.Naona jinsi ulivyovimbiwa,pole sana,kula Bicorbonate ili uendelee kula zaidi na usivimbiwe
Na tutakuchinja kweli...paka wewe..Hata kwa kukatwa panga,nipo tayari.
Nasema hivyo kwa sababu ninao uhakika wale jamaa hawana lolote!
Dalili ya mvua huwa ni mawingu.Hivi sasa hawa watu ni wakuonea huruma!Hawana masikini tumaini lolote!Wamebaki kudandia mambo ya ovyo kabisa!
Hivi,kushadadia askofu wa kikanisa amesema nini ndiyo sera?
Mbunge flani kasema kile ndiyo sera?
Mange amesema kile ndiyo sera?
Na mengine mengi!
Hawa ni watu sahihi kweli?!
Hata huo mwaka wakishika dola mm na niuawe!
Mshaurini jamaa yenu atubu sio ukate miuno hapa kama wacheza kiwanzenzaNjaa yako inanihusu nini MIMI?Kutwa kuchwa unazungusha mikono unafikiri utaambulia japo kitu!Kafanye kazi masikini uli ule!
Yani wanaweweseka, hawaeleweki wanasema demokrasia na maendeleo.Hata kwa kukatwa panga,nipo tayari.
Nasema hivyo kwa sababu ninao uhakika wale jamaa hawana lolote!
Dalili ya mvua huwa ni mawingu.Hivi sasa hawa watu ni wakuonea huruma!Hawana masikini tumaini lolote!Wamebaki kudandia mambo ya ovyo kabisa!
Hivi,kushadadia askofu wa kikanisa amesema nini ndiyo sera?
Mbunge flani kasema kile ndiyo sera?
Mange amesema kile ndiyo sera?
Na mengine mengi!
Hawa ni watu sahihi kweli?!
Hata huo mwaka wakishika dola mm na niuawe!
Wanaluka na kukanyaganaYani wanaweweseka, hawaeleweki wanasema demokrasia na maendeleo.
Demokrasia ipi hiyo au ile ya mbowe ya kuwa Mwenyekt wa maisha
Maendeleo!!
Aaah aaah maendeleo ya kudandia hoja za chama tawala na kupandikiza chuki kwa raia wema na viongozi wa dini.