Nipo tayari kuuawa endapo tu upinzani wa nchi hii utashinda uchaguzi wa 2100!

alexelias

JF-Expert Member
Sep 1, 2017
2,032
3,198
Hata kwa kukatwa panga,nipo tayari.

Nasema hivyo kwa sababu ninao uhakika wale jamaa hawana lolote!

Dalili ya mvua huwa ni mawingu.Hivi sasa hawa watu ni wakuonea huruma!Hawana masikini tumaini lolote!Wamebaki kudandia mambo ya ovyo kabisa!

Hivi,kushadadia askofu wa kikanisa amesema nini ndiyo sera?

Mbunge flani kasema kile ndiyo sera?

Mange amesema kile ndiyo sera?

Na mengine mengi!

Hawa ni watu sahihi kweli?!

Hata huo mwaka wakishika dola mm na niuawe!
 

Pole sana tumbo lililoshiba halimjui mwenye njaa.Naona jinsi ulivyovimbiwa,pole sana,kula Bicorbonate ili uendelee kula zaidi na usivimbiwe
 
Tahadhari......frustrations ni hatari sana kwa uhai wa fikra zako
 
Pole sana tumbo lililoshiba halimjui mwenye njaa.Naona jinsi ulivyovimbiwa,pole sana,kula Bicorbonate ili uendelee kula zaidi na usivimbiwe
Njaa yako inanihusu nini MIMI?Kutwa kuchwa unazungusha mikono unafikiri utaambulia japo kitu!Kafanye kazi masikini uli ule!
 
Na tutakuchinja kweli...paka wewe..
 
Akili zako mbovu mleta mada, akilini mwako unadhani wanaosema kakobe kasema ukweli ni wapinzani acha ujinga.Watanzania wote wameichoka ccm na hawaitaki.Amini nakwambia, kwani Bashe Ni mpinzani?
You are very shit
 
Yani wanaweweseka, hawaeleweki wanasema demokrasia na maendeleo.

Demokrasia ipi hiyo au ile ya mbowe ya kuwa Mwenyekt wa maisha

Maendeleo!!

Aaah aaah maendeleo ya kudandia hoja za chama tawala na kupandikiza chuki kwa raia wema na viongozi wa dini.
 
Taifa limegawanyika na kupasuka na kugawanyika chanzo ni kulazimisha kuwatawala watanzania. Na bado.Upinzani umekaa kimya,mara ooooh umekufa,mara wanachangia kuahadadia yani hamjielewi.

Hamna serikali ya kulazimisha iliwahi fanikiwa Duniani
 
NAZIRI zingine hizi ni za hatari kweli kweli..................!!! kisa nini...??
 
Wanaluka na kukanyagana
 
Kwa stresi ulzonazo kukosa teuzi za mkuu hata 2025 sidhani kama utapga kura
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…