katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
- Thread starter
- #41
Hivi nyie mnajidai mnataka wanawake virgin na mimi nataka mwanaume virgin tusipeane presha
Mwanaume kuanzia 28 mpaka 40Mwanaume au mvulana?
Wala wapoAnatafuta bikira chumba cha wazazi, labda akute nesi
Kama unasema kweli nataka nikuapishe membele ya kadamnasi ya jforumNilitaka nife na utamu wangu .ila kwa heshima yako na upendo wangu kwako itabidi nikutunuku ..kama upo serious karibu pm
Punguza masharti kidogo nipate nafasi basi maana nimefanya mara mbili tatu hiviMwanaume kuanzia 28 mpaka 40
Wewe hutakiwi hata kudhibitishiwa ulipewa ukazimia huna dili.ha ha ha ha thibitisha kwanza,wewe sio used?
Ukimpata wa umri huo jiandae kuhangaika kutafuta matibabu maana bila shaka kuna tatizo maana hata akiwa domo zege hafiki umri huoMwanaume kuanzia 28 mpaka 40
Naomba uking'atwa ukawekwa alama pale utakapoomba akukiss usije kulalamika hapa....Wadau kama wewe ni mwanaume hujawahi kumla mdada i mean kama wewe ni virgin comment here natafuta mwanaume ambaye jawahi kufanya tendo la ndoa hajawahi hata kukiss a lady ambaye hajawahi hata kuhug sister zake yeye husubiria the right time comment here.
Yeah unaweza ipata ya mkungaWala wapo
Niapishe tu Mimi sina neno ..sababu nimedhamiria kukutunukuKama unasema kweli nataka nikuapishe membele ya kadamnasi ya jforum
Sema naapa mbele za Kadamnasi ya Jamii forum kuwa sijamla demu yeyote wala kumkiss nakama nadanganya nisisimamishe milele .Niapishe tu Mimi sina neno ..sababu nimedhamiria kukutunuku
Sema mimi accipito naapa kuwa sijawahi kulala na mwanamke yeyote nakama nimewahi hata kumkiss nanisisimamishe milele.Mimi wa kwanza
Mambooo za ile siku mbona ulilalamapema?Acha mbwembwe jipange uchomoe zile sapu zako wewe!
Hujakosea mwanaume virginWrite your reply...Unahitaji msaada siyo bure😭😭