Nipo njiapanda, msaada wenu wanaJF

Uza gari
 
afuate ushauri huu, hii komenti imefunga uzi
 
Mbona bado upo kwenye nafasi nzuri tu kiongozi, achilia mbali sisis ambao tulifanya project na kudhurumiwa tukatoka mikono mitupu ila wewe umebakiwa na mtaji, milioni ni kubwa sana, chukua laki 5 nunua photocopy machine hata kwa mtu, chukua laki mbili nunua computer hata kwa mtu fungua stationary hii inaleta faida asikwambie mtu nimeifanya kwa mda inafaida yake
 
gari usiuze asiliani, utauza bei ya njaa sana, ingiza gari kwa uber na uendeshe mwenyewe, usimpe mtu, NIMEKUONYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…