Pole sana ndugu. Kumbuka wewe ni wa thamani sana mwanamke aliumbwa kwa ajili yako, huyo si wako muombe Mungu akupatie aliye wako.mkuu sio mimi napenda kulialia ila ni moyo ndio uliona mahala salama kumbe ni kinyume
Hiki ndicho ulichokosea, tabia ni kama nywelebefore kipindi hatujaanza kuishi pamoja aliwahi kucheat nikadhamiria kumuacha kabisa akakiri ni kweli na kweli hakuwahi kucheat tena na jamaa huyo
mara nyingi sana maisha ya kikauzu sijayazoea nadhani ustaarabu wangu ndio unaonicost pia na uhuru niliompa yote haya nimeshachelewa sanaMadem wa sikuiz ukiwadekeza utaumia.... tumia busara lakin pia muonyeshe msimamo wako... kama hataki aende... just plain and clear
Temaaa uyo hana adabu,na inaezekana huyo anayechart naye ndio wa dini yake wewe ni km spear tu siku ziende nk! Kakibao tu ndio ndio atake kusepa ni kwa sababu ana alternative, we piga chini mpe nauli yake muambie ukirudi jioni nisikukute basi.Wanawake wapo wengi sana huna haja ya kuhuzunika,tafuta kitu kipya life goes on.Habarini wana jf,
Naomba niende moja kwa moja kwenye point....
Usiku wa kuamka leo nimekosa amani totally na nimewaza sana lakini nakosa majibu nikaona ni bora niombe msaada kwenu.
Ni kwamba mimi ninaishi na binti mmoja ambaye mwanzoni tulikuwa na mahusiano mazuri tu lakini sasa hivi nipo dilemma kutokana na mwenendo wake jana nilimtia kibao kibao kimoja baada ya kunifyonza kiukweli hasira zilinipanda sana nikamnasa na siyo mara moja wala mara mbili kunifyonza na maneno mengine ya kejeli hasa anapokuwa na hasira.
Sasa baada ya tukio hilo alilia sana na kudai anataka aondoke kwamba hajawahi kupigwa na mwanaume yeyote ambaye atampiga hata kama ana makosa basi ni lazima amwache nilimbembeleza sana pasipo mafanikio baadae sana akakubali ingawa bado ana fundo moyoni.Shida ina kuja kwamba katika kupekua pekua simu yake nimeona namba fulani nadhani ndio inayompa kiburi ingawa sina uhakika maana huwa anafuta ushahidi na anapopigiwa hapokei ninapomuuliza kwa nini hapokei anadai hajisikii kupokea lakini nilipotazama zile call logs inaonyesha huwa anapokea mara kwa mara hiyo namba.
Shida nyingine dini zetu ni tofauti ingawa kweli nampenda kwa dhati kabisa nina mpango nae sasa mara kwa mara ninakuwa nina mashaka naye hasa anapokuwa anachart nimebaki najiuliza nifanye nini lakini nakosa cha kuamaua ...
Wazo jingine linaniambia nitemane naye na jingine linaniambia niwe na subira ...naombeni ushauri wenu hasa jinsi ya kuachana naye kwa amani zaidi pasipo mimi kuhisi maumivu kwani bado nampenda sna ila kuzungukwa ndiko kunakonifukuza
yeye ni muislam pia anayechart naye ni mkristo ila anaitumia hiyo njia kama kujipoza na hata kama atasepa wakawa wote sidhani hata watavumiliana hata miezi 2 ...kiukweli huyu binti mapungufu yake inahitaji mwenye moyo mashineTemaaa uyo hana adabu,na inaezekana huyo anayechart naye ndio wa dini yake wewe ni km spear tu siku ziende nk! Kakibao tu ndio ndio atake kusepa ni kwa sababu ana alternative, we piga chini mpe nauli yake muambie ukirudi jioni nisikukute basi.Wanawake wapo wengi sana huna haja ya kuhuzunika,tafuta kitu kipya life goes on.
Unajua brother kuwa mstaarabu ni jambo jema. Ila ukifika wakati wa kutumia nguv... tumia nguvu.mara nyingi sana maisha ya kikauzu sijayazoea nadhani ustaarabu wangu ndio unaonicost pia na uhuru niliompa yote haya nimeshachelewa sana
Mkung'ute mpaka aseme huwa anawasiliana na nani.afu ukiishi na mwanamke jaribu kuficha madhaifu yako kwake,hata kama unampenda sana,usionyeshe kuwa unampenda sana,na pia usiruhusu mwanamke akakuzoea sana,mwisho wa siku ndo mambo kama haya,umemlamba kakofi kamoja anakuvutia domo.
Me binafsi kuna x wangu nadhan huwa ananimiss mpaka leo,nilikua siishi nae lakini alikua akinizngua,nlikua namuita taratibu namfungia chumban afu namkung'uta ipasavyo,mwishowe me nikaja nikampotezea mwenyewe,akaolewa na mshkaji mwingne lakini mpaka leo ananipenda.
ndicho nilichokifanya jana kunasa kibao hapo ndipo alipoijia juu baada ya kukaa muda mrefu na kuona nimerudi kwenye hali yangu ya kawaida anadai kama nimeweza kupiga kibao siku nyingine nitaweza pia kumuua ...ndio madai yake yakuondoka hapa home ...amekomalia hatorudisha moyo nyuma na mimi nimekubaliana na madai yake ingawa anadai hatoondoka leo wala kesho ila akiweka mambo yake sawa ndio ataondoka jambo ambalo sikubaliani nalo kama kusepa asepe tuUnajua brother kuwa mstaarabu ni jambo jema. Ila ukifika wakati wa kutumia nguv... tumia nguvu.
Kuwa mpole kidogo... kuwa mkali pia...
Lazima mwanamke ajue unataka nn na unapenda nn.... sio yeye ndio akuamrishe