Nipo njia panda kijana mwenzenu..

Nipo njia panda kijana mwenzenu..

Pretty R.

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
200
Reaction score
31
Habari zenu wana jamvi wenzangu? Mimi nina boyfriend ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia mwaka wa tano sasa. Kinachoniweka njia panda ni kwamba tunapendana sana lakini mama na ndugu wengine hawataki tuoane kwasababu kwanza makabila tofauti, wanataka niolewe na mtu wa kabila langu, kingine kielimu nimemzidi na nyumbani wanataka at least tuwe level moja au aliyenizidi elimu, halafu mwanaume ni mfupi mimi ni mrefu tukipita njiani watu wanajua yupo na dada yake kumbe ni girl friend wake. Naomba mnishauri nifanyeje kwa sababu kumpenda nampenda, nikimuacha nitamuumiza na sitaki kumuumiza na mama yangu naye nampenda sitaki kumuumiza, nifanyeje?
 
Habari zenu wana jamvi wenzangu? Mimi nina boyfriend ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia mwaka wa tano sasa. Kinachoniweka njia panda ni kwamba tunapendana sana lakini mama na ndugu wengine hawataki tuoane kwasababu kwanza makabila tofauti, wanataka niolewe na mtu wa kabila langu, kingine kielimu nimemzidi na nyumbani wanataka at least tuwe level moja au aliyenizidi elimu, halafu mwanaume ni mfupi mimi ni mrefu tukipita njiani watu wanajua yupo na dada yake kumbe ni girl friend wake. Naomba mnishauri nifanyeje kwa sababu kumpenda nampenda, nikimuacha nitamuumiza na sitaki kumuumiza na mama yangu naye nampenda sitaki kumuumiza, nifanyeje?

Fanya maamuzi magumi, kama kweli unampenda fanya maaamuzi Magumu Muoe, vinginevyo Piga chini Tafuta unaye endana naye.
 
Pole, ni maamuzi tu maana lazima upande mmoja uumie. Undugu na mama yako hauwezi kufa kwa kuolewa na huyo mkaka; ila ukimuacha mpenzio imetoka na who knows waweza pata handsome, tall, educated, rich but insenstive n abusive.
 
Kama mnapendana muoane, unaweza kutafuta mrefu, elimu kubwa na kabila lako ukajikuta una juta.Mshirikishe Mungu pia
 
Uamuzi mzuri ni kisikiliza nafsi yako inataka nini!ushauri wetu unaweza ukawa hana maana kwa sababu wewe ndiye unayejua mazingira yote!
 
Habari zenu wana jamvi wenzangu? Mimi nina boyfriend ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia mwaka wa tano sasa. Kinachoniweka njia panda ni kwamba tunapendana sana lakini mama na ndugu wengine hawataki tuoane kwasababu kwanza makabila tofauti, wanataka niolewe na mtu wa kabila langu, kingine kielimu nimemzidi na nyumbani wanataka at least tuwe level moja au aliyenizidi elimu, halafu mwanaume ni mfupi mimi ni mrefu tukipita njiani watu wanajua yupo na dada yake kumbe ni girl friend wake. Naomba mnishauri nifanyeje kwa sababu kumpenda nampenda, nikimuacha nitamuumiza na sitaki kumuumiza na mama yangu naye nampenda sitaki kumuumiza, nifanyeje?


Ina maana miaka yote hiyo walikuwa hawajamuona kama ni mfupi?
wewe ni kabila gani na elimu yako ni kiwango gani
 
Unahitaji kufanya 'opportunity cost'...kimsingi huwezi kupata vyote..i mean umpate umpendaye at the same awe anapendwa na watu wengine in this case wazazi wako (japo sometimes inatokea)...Kwa case yako kwanza 'jiulize sababu gani zina UZITO mkubwa kwa wewe kupata wa kujenga naye familia'? Then linganisha na sababu za wazazi za kumkataa kama zina MASHIKO..Kikubwa, muangalie huyo mwenzio kama mtu unayeenda kuishi naye muda ulobaki wa maisha yako na sio just a lover..To me the question could be: Does the guy worth to be your husband?..if yes, Pick HIM no matter what!!.............................
 
Habari zenu wana jamvi wenzangu? Mimi nina boyfriend ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia mwaka wa tano sasa. Kinachoniweka njia panda ni kwamba tunapendana sana lakini mama na ndugu wengine hawataki tuoane kwasababu kwanza makabila tofauti, wanataka niolewe na mtu wa kabila langu, kingine kielimu nimemzidi na nyumbani wanataka at least tuwe level moja au aliyenizidi elimu, halafu mwanaume ni mfupi mimi ni mrefu tukipita njiani watu wanajua yupo na dada yake kumbe ni girl friend wake. Naomba mnishauri nifanyeje kwa sababu kumpenda nampenda, nikimuacha nitamuumiza na sitaki kumuumiza na mama yangu naye nampenda sitaki kumuumiza, nifanyeje?

hiyo ya elimu bwana italeta matatizo kusema kweli. hayo mengine hayana point. sasa kuolewa ni decision ya mtu hapana kuingiliwa eother by frends au parents.....sasa kama kweli kuna upendo wa dhati owaneni tuu ila lazima uwe ready kutengwa na wanafamilia
 
anaye olewa ni wewe au wazazi wako,atakaye kuwa naye niwewe au wazazi wako,anayempenda ni wewe au wazazi wako? jibu maswali haya then fanya maamuzi
 
Habari zenu wana jamvi wenzangu? Mimi nina boyfriend ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia mwaka wa tano sasa. Kinachoniweka njia panda ni kwamba tunapendana sana lakini mama na ndugu wengine hawataki tuoane kwasababu kwanza makabila tofauti, wanataka niolewe na mtu wa kabila langu, kingine kielimu nimemzidi na nyumbani wanataka at least tuwe level moja au aliyenizidi elimu, halafu mwanaume ni mfupi mimi ni mrefu tukipita njiani watu wanajua yupo na dada yake kumbe ni girl friend wake. Naomba mnishauri nifanyeje kwa sababu kumpenda nampenda, nikimuacha nitamuumiza na sitaki kumuumiza na mama yangu naye nampenda sitaki kumuumiza, nifanyeje?

he he he he umenchekesha!!!!!!
 
wazazi wanaona mbali. lol. kwani si wanaweza kuendelea kugegedana tu bila ndoa.

hahha alafu wanaume wakigegeda bila kuwaoa mnapiga kelele lakini hapa wamwambia mwenzio aendelee kugegedwa tuu...kwanza miaka mitano kashagegedwa vyakutosha lol

parents wanaweza kukupa advise but final decision ni yako mwenyewe bana.
 
hahha alafu wanaume wakigegeda bila kuwaoa mnapiga kelele lakini hapa wamwambia mwenzio aendelee kugegedwa tuu...kwanza miaka mitano kashagegedwa vyakutosha lol

parents wanaweza kukupa advise but final decision ni yako mwenyewe bana.

mmmmmhhh!! haya mgegedaji. ushauri kausikia
 
Habari zenu wana jamvi wenzangu? Mimi nina boyfriend ambaye tumekuwa kwenye mahusiano karibia mwaka wa tano sasa. Kinachoniweka njia panda ni kwamba tunapendana sana lakini mama na ndugu wengine hawataki tuoane kwasababu kwanza makabila tofauti, wanataka niolewe na mtu wa kabila langu, kingine kielimu nimemzidi na nyumbani wanataka at least tuwe level moja au aliyenizidi elimu, halafu mwanaume ni mfupi mimi ni mrefu tukipita njiani watu wanajua yupo na dada yake kumbe ni girl friend wake. Naomba mnishauri nifanyeje kwa sababu kumpenda nampenda, nikimuacha nitamuumiza na sitaki kumuumiza na mama yangu naye nampenda sitaki kumuumiza, nifanyeje?
Sababu au vikwazo vinavyotolewa sio vya msingi..Olewa nae kama una amani/umeridhika.Na kama ni mcha Mungu ingia magotini ili kuombea milango ifunguke na vikwazo vitoke ili kuweka msingi mzuri mtakapoona badae isije ikatokea matatizo na reference ikawa vikwazo vya sasa
 
........"jilengeshe akupe mimba" lara 1
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom