Wakuu, nipo MTWARA mjini nahitaji saa Kali ya mkononi dizain kama gold Fulani hv isiyopauka kwa mda mrefu..
So nahitaji kufahamishwa maduka na maeneo ambayo ninaweza kupata hyo kitu bajeti yangu ni kuanzia 25,000 - 35,000
Watoto wa mkanaredi au kitaya teh!Kweli kabisa mkuu, huu mji vitu vyake ni bei ghali sana hasa mavazi
Hahaha dah jamaa hivi ni kweli au?Korosho Vp Huko
Mh Dkt John Pombe
Kasema Kilogram Itauzwa Juu
Mbuzi Mtawaleta Mbagala Kama Mlivyofanya Mwaka Jana Wakaja Kutembea
Kuhusu Saa Naamini Utapata Maana Kizuri Pesa
Mwaka JanaHahaha dah jamaa hivi ni kweli au?
Hahaha dah wamakonde wanashida sana asee.Mwaka Jana
Kuna Jamaa Baada Ya Kupata Pesa Nono Ya Korosho Akawapakia Mbuzi Kwenye Noah Kaja Nao Dar es salaam Kafikia Mbagala
Jeuri Ya Pesa Ya Korosho
Nunua RolexWakuu, nipo MTWARA mjini nahitaji saa Kali ya mkononi dizain kama gold Fulani hv isiyopauka kwa mda mrefu..
So nahitaji kufahamishwa maduka na maeneo ambayo ninaweza kupata hyo kitu bajeti yangu ni kuanzia 25,000 - 35,000
Ila bei yake imesimamia ukuchaWakuu, nipo MTWARA mjini nahitaji saa Kali ya mkononi dizain kama gold Fulani hv isiyopauka kwa mda mrefu..
So nahitaji kufahamishwa maduka na maeneo ambayo ninaweza kupata hyo kitu bajeti yangu ni kuanzia 25,000 - 35,000
Korosho Vp Huko
Mh Dkt John Pombe
Kasema Kilogram Itauzwa Juu
Mbuzi Mtawaleta Mbagala Kama Mlivyofanya Mwaka Jana Wakaja Kutembea
Kuhusu Saa Naamini Utapata Maana Kizuri Pesa
Last time niliziona jumia , bei ilikua inacheza kwenye 45000- 85000 zipo aina tofauti but ni brand hiyo hiyo (Rolex)Ni kuanzia sh ngapi mkuu..?