Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,269
Zipo za zenye muonekano wa gold, silver n.k na ukipata og yenyewe huwa haipauki ila sidhani kama bei yake itakua chini ya laki mojaNi kuanzia sh ngapi mkuu..?
Zipo za zenye muonekano wa gold, silver n.k na ukipata og yenyewe huwa haipauki ila sidhani kama bei yake itakua chini ya laki mojaNi kuanzia sh ngapi mkuu..?
Mmmh sijui lakini. Navyojua mimi Rolex unazungumzia kuanzia milioni au karibu na hapoOK.. Hebu niziangaikie hz
Bro umeshapata kuna mtu namfahamu yupo mtwara maeneo ya shangani anazo anauzaWakuu, nipo MTWARA mjini nahitaji saa Kali ya mkononi dizain kama gold Fulani hv isiyopauka kwa mda mrefu..
So nahitaji kufahamishwa maduka na maeneo ambayo ninaweza kupata hyo kitu bajeti yangu ni kuanzia 25,000 - 35,000
Kwa bajeti hiyo utachemka mkuu, tena mtwara kabisa? Huyo mtu atakua kaifuata mjini kwa bei gani?Wakuu, nipo MTWARA mjini nahitaji saa Kali ya mkononi dizain kama gold Fulani hv isiyopauka kwa mda mrefu..
So nahitaji kufahamishwa maduka na maeneo ambayo ninaweza kupata hyo kitu bajeti yangu ni kuanzia 25,000 - 35,000
0654811188Give me his contact