life style
Member
- Jan 5, 2019
- 8
- 8
Ipo hivi,kuna msichana nipo naye kwenye mahusiano mwaka wa pili huu ...lakini toka mwanzo sikuwahi kumpenda kwa moyo wote ilitokea coincidence tu tukajikuta kwenye mahusiano mwanzoni ilikuwa ni kama friends with benefits tu lakin yeye ndiye alichangia kwa kiasi kikubwa at least kufikia hapa .
Sasa kwa kipindi hiki mimi najiona nahitaji kuwa na familia kwa maana umri unaruhusu kabisa na kipato cha kumudu majukumu ya familia nashukuru kipo sasa tatizo hata nikiwa naye sijifeel chochote yani
kuna wakati hata kwenye sex ili mzuka uje wa kutosha basi kwenye fikra zangu nimfikirie mdada mwingine(tuliwah kuwa wapenz na huyo tukaseparate,ameolewa kwa sasa) ndio stimu zinakuja za kutosha
Lakini huyu ndio yupo around kwa sasa , ambacho kinanipa shida ni kwamba kwa sababu nahitaji kuoa je niendelee na huyu huyu ambaye tayari tushazoeana lakini moyoni kwangu hayupo na nimeshajilazimisha sana kumpenda lakini still bado namchukilia poa tu au nitafute mwingine ambaye moyo wangu
Utaridhika naye ndio niingie kwenye ndoa (hapa nafikiria kuanza upya kumzoea mtu mwingine na mapungufu yake uyazoee) by the way I'm turning 30 may mwaka huu na najihisi nimechelewa kuanzisha familia..hapa ndio pananipa shida ..ushauri please
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa kipindi hiki mimi najiona nahitaji kuwa na familia kwa maana umri unaruhusu kabisa na kipato cha kumudu majukumu ya familia nashukuru kipo sasa tatizo hata nikiwa naye sijifeel chochote yani
kuna wakati hata kwenye sex ili mzuka uje wa kutosha basi kwenye fikra zangu nimfikirie mdada mwingine(tuliwah kuwa wapenz na huyo tukaseparate,ameolewa kwa sasa) ndio stimu zinakuja za kutosha
Lakini huyu ndio yupo around kwa sasa , ambacho kinanipa shida ni kwamba kwa sababu nahitaji kuoa je niendelee na huyu huyu ambaye tayari tushazoeana lakini moyoni kwangu hayupo na nimeshajilazimisha sana kumpenda lakini still bado namchukilia poa tu au nitafute mwingine ambaye moyo wangu
Utaridhika naye ndio niingie kwenye ndoa (hapa nafikiria kuanza upya kumzoea mtu mwingine na mapungufu yake uyazoee) by the way I'm turning 30 may mwaka huu na najihisi nimechelewa kuanzisha familia..hapa ndio pananipa shida ..ushauri please
Sent using Jamii Forums mobile app