Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Jamani nipo kwenye dalalada natokea posta naenda gongolamboto mda huu, nimeangalia mifuko yote nilikuwa na buku lakini siioni sijui nilidondoshea wapi na konda mda huu ndoanasanya nauli afu ana uso mzito wa hasira ya kupanda kwa bei ya wese.
Jamani Naombeni ushauri wa haraka nitumie technic gani nijinusuru na hii fedheha.
Jamani Naombeni ushauri wa haraka nitumie technic gani nijinusuru na hii fedheha.