ShikamooooPole Mkuu
Nakutumia PMasante tajiri nitumie namba yako ya akaunt ya NMB
Dah..akikutumia... nirushie hata buku jero nipate njia. Hakieleweki hapa feri leoPole sana boss, nitumie laki nikuelekeze njia

Nilipe deni langu kwanzaDah..akikutumia... nirushie hata buku jero nipate njia. Hakieleweki hapa feri leo![]()
bwana bwana si nimeingia kariakoo shimoni kusaka madude mara paaaah! nikakatisha mitaa miwili mitatu kuangalia nyuma sizioni njia.
hapa naogopa kuwauliza watu maana nimebeba mihela naogopa kukabwa.