Nipo Dodoma nisaidieni kibarua chochote

Nipo Dodoma nisaidieni kibarua chochote

itakuwa vizuri ila kwa kazi za huku ni connectio mno mimi nimehangaika sana
Ni kweli mshua mi Kuna kiwanda kinajengwa mitaa ya veyula ndani ndani kutoka stend Kama kilometer 2 au 3 ivi nimesotea wiki 2 bila bila mzee ni headache
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom