nicole0216
Member
- Aug 29, 2016
- 6
- 3
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta mbegu ya sungura kwaajili ya kufuga mimi binafsi. Naomba kufahamu na bei ikoje???
Unaitaji wa aina gani?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta mbegu ya sungura kwaajili ya kufuga mimi binafsi. Naomba kufahamu na bei ikoje???
Nahitaji chotara na kienyeji ili niendelee kufanya cross breeding mwenyewe. Lakini pia naomba na darasa zaidi la ufugaji wa hao viumbe maana ndio nataka nianze.Unaitaji wa aina gani?
1) kienyeji
2) kisasa
3) Chotara
Karibu sana
mkuu mimi nahitaji wa kisasa 0714434190Unaitaji wa aina gani?
1) kienyeji
2) kisasa
3) Chotara
Karibu sana
mkuu ni vema ukamwaga bie hapa tuchangamkie fursaMi ninao wa kienyeji wako Chanika kama utahitaji tuwasiliane 0783772809
Mkuu naomba kujua hiyo hotel nichangamkie fursakuna hoteli flan dsm nyama ya sungura inauzwa $35 yan kama efu70 afu sungura tope tu wa kama kilo2
Bei ya chini kabisa ni tsh 15000 kwa sungura mdogo kuanzia wiki 2..mkuu ni vema ukamwaga bie hapa tuchangamkie fursa
aaah sawa mkuu ila hao si wanakua vizuri tu....?Bei ya chini kabisa ni tsh 15000 kwa sungura mdogo kuanzia wiki 2..
Sungura wa kisasa wanauzwa kwa 75000 kwa mmoja na wanapatikana kwa order .kuna aina 2 za sungura amabazo zinapatikana hapa Tanzaniamkuu mimi nahitaji wa kisasa 0714434190
Wanakua vizuri kabisa cha msingi kakikisha wanapata cha kula na maji kutosha, pa1 na kuwaweka sehemu inayofanyiwa usafi vzuri.aaah sawa mkuu ila hao si wanakua vizuri tu....?
Mkuu katika izo aina 2 ulizotaja aina ipi ndo wanafaa zaidi kwa biashara ya nyama.?Sungura wa kisasa wanauzwa kwa 75000 kwa mmoja na wanapatikana kwa order .kuna aina 2 za sungura amabazo zinapatikana hapa Tanzania
1.Calfonia
2.Newzaland
Zinapatokana kwa order iliuone faida ya kufuga nilazima uwe na sungura wa kutosha .sina hakika na hali ya hewa ya Dar kama inaweza kufanya vizuri katika hizi aina mbili za sungura ila kwa Nairobi wamefanya vizuri
Aina zote zinafaa kwa nyama .Mkuu katika izo aina 2 ulizotaja aina ipi ndo wanafaa zaidi kwa biashara ya nyama.?
asante sana mkuu, naomba namba zako ili tufanye mawsiliano...Wanakua vizuri kabisa cha msingi kakikisha wanapata cha kula na maji kutosha, pa1 na kuwaweka sehemu inayofanyiwa usafi vzuri.
Aaaah sawa mkuu asante kwa ushauriSungura wa kisasa wanauzwa kwa 75000 kwa mmoja na wanapatikana kwa order .kuna aina 2 za sungura amabazo zinapatikana hapa Tanzania
1.Calfonia
2.Newzaland
Zinapatokana kwa order iliuone faida ya kufuga nilazima uwe na sungura wa kutosha .sina hakika na hali ya hewa ya Dar kama inaweza kufanya vizuri katika hizi aina mbili za sungura ila kwa Nairobi wamefanya vizuri
0783 772809asante sana mkuu, naomba namba zako ili tufanye mawsiliano...