Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Nimeshangaa sana mimi,Leo asubuhi nilienda bank kwa matatizo yangu ile tunahudumiwa mbele ya mtoa Huduma kuna bwana akasema anahitaji mkopo wa million 150+ nikabaki nimetumbua macho tu.
Huyu jamaa kwa Maelezo yake nimemsikia vizuri akisema yeye ni mtumishi wa serkali
Kitu kikubwa kilichopelekea mi kushangaa inakuwaje mtumishi wa serkali tz inaweza lamba mkopo mnene kiasi hicho!!!!
Mfano mzuri ni humu jamii forum imejengeka taswira kuwa watumishi wa serkali wanaishi maisha ya chini sana kulinganisha na nchi nyingine
Kwa hii pesa jamaa anayokwenda kuilamba akiwa MTU mbunifu anaweza kubadilisha kabisa maisha yake na uchumi wake
Sikuishia hapo ilinibidi Mimi niahirishe kwanza kuhudumiwa nikatoka nje ya bank nione huyu mheshimiwa anatembelea miguu ya Mungu au ya binadamu
Kiufupi alipotoka nje ya bank alivuka barabara kwa usafiri wa Mungu akasepa zake
Nakumbuka dada mmoja tu wa crdb yeye amefanya kazi kwa miaka kumi na mingi kidogo ameniambia yeye anaweza kuchukua mkopo wa million 100+
Kilichoniumiza zaidi kichwa huyu mheshiwa atakuwa na wazifa gani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa kwa Maelezo yake nimemsikia vizuri akisema yeye ni mtumishi wa serkali
Kitu kikubwa kilichopelekea mi kushangaa inakuwaje mtumishi wa serkali tz inaweza lamba mkopo mnene kiasi hicho!!!!
Mfano mzuri ni humu jamii forum imejengeka taswira kuwa watumishi wa serkali wanaishi maisha ya chini sana kulinganisha na nchi nyingine
Kwa hii pesa jamaa anayokwenda kuilamba akiwa MTU mbunifu anaweza kubadilisha kabisa maisha yake na uchumi wake
Sikuishia hapo ilinibidi Mimi niahirishe kwanza kuhudumiwa nikatoka nje ya bank nione huyu mheshimiwa anatembelea miguu ya Mungu au ya binadamu
Kiufupi alipotoka nje ya bank alivuka barabara kwa usafiri wa Mungu akasepa zake
Nakumbuka dada mmoja tu wa crdb yeye amefanya kazi kwa miaka kumi na mingi kidogo ameniambia yeye anaweza kuchukua mkopo wa million 100+
Kilichoniumiza zaidi kichwa huyu mheshiwa atakuwa na wazifa gani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app