Nipo Arusha natafuta mahali ambapo mtoto wangu anaweza kujifunza table tennis

kikaniki

JF-Expert Member
Nov 20, 2014
502
938
Wadau kama heading inavyosomeka. Nipo Arusha, nina binti yangu ana umri wa miaka minane (08). Nilikuwa na wazo la kumjenga mwanangu awe mcheza tennis mzuri.

Kwa anayefahamu, naomba aniunganishe (anielekeze/anipe contact) za mahali ambapo binti yangu huyo anaweza kuwa anajifunza mchezo huo hasa katika siku za mwishoni mwa juma (week ends) na siku za likizo.

Wasalaam!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kama heading inavyosomeka. Nipo Arusha, nina binti yangu ana umri wa miaka minane (08). Nilikuwa na wazo la kumjenga mwanangu awe mcheza tennis mzuri.

Kwa anayefahamu, naomba aniunganishe (anielekeze/anipe contact) za mahali ambapo binti yangu huyo anaweza kuwa anajifunza mchezo huo hasa katika siku za mwishoni mwa juma (week ends) na siku za likizo.

Wasalaam!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekushauri uwaulize wadau wa huo mchezo watakupa jawabu sahihi. Naweza kukupatia number ya Kocha wa Taifa umuulize. Kama uko interested nijuilishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom