Wadau kama heading inavyosomeka. Nipo Arusha, nina binti yangu ana umri wa miaka minane (08). Nilikuwa na wazo la kumjenga mwanangu awe mcheza tennis mzuri.
Kwa anayefahamu, naomba aniunganishe (anielekeze/anipe contact) za mahali ambapo binti yangu huyo anaweza kuwa anajifunza mchezo huo hasa katika siku za mwishoni mwa juma (week ends) na siku za likizo.
Wasalaam!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa anayefahamu, naomba aniunganishe (anielekeze/anipe contact) za mahali ambapo binti yangu huyo anaweza kuwa anajifunza mchezo huo hasa katika siku za mwishoni mwa juma (week ends) na siku za likizo.
Wasalaam!
Sent using Jamii Forums mobile app