Nipigwe ban Simba akiambulia point hata moja Leo

Nipigwe ban Simba akiambulia point hata moja Leo

Uto mwenzangu mechi ya leo hakugawiwi point, kunaangaliwa aggregate goals kwa mechi ya leo na Ile ya tarehe 25/05/2025 pale New Amaan Complex. Katibu siku hiyo, Urojo,Manda,Bobwe, Kaimati, Ladu, Togwa, Visheti, Faluda,mkate wa kumimina,Kababu,doriani na shokishoki.
Hata sare hampati

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wakuu Baada ya kujifungia miezi mitatu nikichambua kikosi heavyweight Cha RS berkane na kikosi hafifu Cha Simba El de makolo nimekuja ku draw conclusion Kwamba

Mvua ya magoli mengi ....itashuka Kwa Simba since berkane yupo daraja la juu Kidgo kuliko Simba .......daraja la berkane ilitakuwa ikutane na Yanga .....hapa mizani ingebalance
NB: Ni mjinga tu ataamini Kwamba Simba ( weak team) leo itapata matokeo Kwa berkane ( the giant)

SIMBA IKIPATA POINT YEYOTE LEO ..... NIPIGWE BAN SIKU 2.....maana ntakuwa nimeaibisha tasnia ya uchambuzi View attachment 3336748

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba nafasi ya 4 kwa ubora Afrika huku Berkane nafasi ya 5.

Sasa hapo nani yupo juu kitakwimu wewe mlugaluga mwenye kutumia Tecno😆?
 
Kimanu manu kina manua manua aaah sega sega kaulegeza
Kimanu manu kina manua manua aaah sega sega kaulegeza
Kimanu manu kina manua maua aaah sega sega kaulegeza
 
Back
Top Bottom