Nipigwe ban Simba akiambulia point hata moja Leo

Nipigwe ban Simba akiambulia point hata moja Leo

Wakuu Baada ya kujifungia miezi mitatu nikichambua kikosi heavyweight Cha RS berkane na kikosi hafifu Cha Simba El de makolo nimekuja ku draw conclusion Kwamba

Mvua ya magoli mengi ....itashuka Kwa Simba since berkane yupo daraja la juu Kidgo kuliko Simba .......daraja la berkane ilitakuwa ikutane na Yanga .....hapa mizani ingebalance
NB: Ni mjinga tu ataamini Kwamba Simba ( weak team) leo itapata matokeo Kwa berkane ( the giant)

SIMBA IKIPATA POINT YEYOTE LEO ..... NIPIGWE BAN SIKU 2.....maana ntakuwa nimeaibisha tasnia ya uchambuzi View attachment 3336748

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huchoki kuomba ban tangu simba ipo group stage?
 
Toka Simba ameingia CAF Confederation cup nyuzi zako zote ni kutaka kupigwa kila mechi ya Simba akicheza na timu pinzani.

Ika nashukuru JF Moderators walikuwisha kukudharau kwa vile wewe ni kati ya wasio na akili waliitajwa na Manara ndanibya Yanga.
Yajayo yanatisha pale u-koloni

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kabisa msihanaike sana na huyu mtu.
Mwandiko wake unaonexha kabisa yeye ni mhitimu wa class seven,
Aina ya simu yake anaonekana kuwa mwenye njaa.
Sa uliwahi kuona wapi mwenye njaa akaongea jambo la maana.
Nb.
Asilaumiwe coz kule Utopoloni wote ni mbumbumbu kasoro wawili tu ndio wenye akili.
Mkuu Kwa uwezo nlionao .... naweza finance ukoo wako mzima na ukoo wa mkeo combined Kwa miaka yote mtakayoishi duniani

Guess who I'm

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom