Nipigwe ban Simba akiambulia point hata moja Leo

Nipigwe ban Simba akiambulia point hata moja Leo

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,854
Reaction score
32,657
Wakuu Baada ya kujifungia miezi mitatu nikichambua kikosi heavyweight Cha RS berkane na kikosi hafifu Cha Simba El de makolo nimekuja ku draw conclusion Kwamba

Mvua ya magoli mengi ....itashuka Kwa Simba since berkane yupo daraja la juu Kidgo kuliko Simba .......daraja la berkane ilitakuwa ikutane na Yanga .....hapa mizani ingebalance
NB: Ni mjinga tu ataamini Kwamba Simba ( weak team) leo itapata matokeo Kwa berkane ( the giant)

SIMBA IKIPATA POINT YEYOTE LEO ..... NIPIGWE BAN SIKU 2.....maana ntakuwa nimeaibisha tasnia ya uchambuzi
JamiiForums194142596.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Toka Simba ameingia CAF Confederation cup nyuzi zako zote ni kutaka kupigwa ban kila mechi ya Simba akicheza na timu pinzani.

Ila nashukuru JF Moderators walikuwisha kukudharau kwa vile wewe ni kati ya wasio na akili waliitajwa na Manara ndanibya Yanga.
 
Wakuu Baada ya kujifungia miezi mitatu nikichambua kikosi heavyweight Cha RS berkane na kikosi hafifu Cha Simba El de makolo nimekuja ku draw conclusion Kwamba

Mvua ya magoli mengi ....itashuka Kwa Simba since berkane yupo daraja la juu Kidgo kuliko Simba .......daraja la berkane ilitakuwa ikutane na Yanga .....hapa mizani ingebalance
NB: Ni mjinga tu ataamini Kwamba Simba ( weak team) leo itapata matokeo Kwa berkane ( the giant)

SIMBA IKIPATA POINT YEYOTE LEO ..... NIPIGWE BAN SIKU 2.....maana ntakuwa nimeaibisha tasnia ya uchambuzi View attachment 3336748

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mada ya ki-undergraduate hii!!
 
Wakuu Baada ya kujifungia miezi mitatu nikichambua kikosi heavyweight Cha RS berkane na kikosi hafifu Cha Simba El de makolo nimekuja ku draw conclusion Kwamba

Mvua ya magoli mengi ....itashuka Kwa Simba since berkane yupo daraja la juu Kidgo kuliko Simba .......daraja la berkane ilitakuwa ikutane na Yanga .....hapa mizani ingebalance
NB: Ni mjinga tu ataamini Kwamba Simba ( weak team) leo itapata matokeo Kwa berkane ( the giant)

SIMBA IKIPATA POINT YEYOTE LEO ..... NIPIGWE BAN SIKU 2.....maana ntakuwa nimeaibisha tasnia ya uchambuzi View attachment 3336748

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Umeshaukimbia mtego uliojitegea mwenyewe.huwezi kupigwa ban maana hatua hii hawashindanii point tena bali kombe!
 
😄😂😁🤣🤣🤣😄😂😁😁😂😂Usitutishe
By Maalim Seif Sharif Hamad
 
Wakuu Baada ya kujifungia miezi mitatu nikichambua kikosi heavyweight Cha RS berkane na kikosi hafifu Cha Simba El de makolo nimekuja ku draw conclusion Kwamba

Mvua ya magoli mengi ....itashuka Kwa Simba since berkane yupo daraja la juu Kidgo kuliko Simba .......daraja la berkane ilitakuwa ikutane na Yanga .....hapa mizani ingebalance
NB: Ni mjinga tu ataamini Kwamba Simba ( weak team) leo itapata matokeo Kwa berkane ( the giant)

SIMBA IKIPATA POINT YEYOTE LEO ..... NIPIGWE BAN SIKU 2.....maana ntakuwa nimeaibisha tasnia ya uchambuzi View attachment 3336748

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Utopolo mnaweweseka sana na mnyama.
Sijui uto mnahusikaje na mechi ambayo hampo hata kwenye hayo mashindano.
Mabingwa wa muungano tulieni na kombe lenu.
 
Back
Top Bottom