nipewe....

Joined
Dec 16, 2012
Posts
49
Reaction score
8
naomba nipewe ushauri wa busara.mke wangu ni fundi nguo(cherehani) anatoka asubuhi na kurudi jioni,sasa kila nikimuomba unyumba hudai amechoka,na ni ukweli hua amechoka na hiyo kazi yake imeundolea hamu ya sex.kwa upande wangu inabidi nimbake vinginevyo naweza pitisha miezi 3 bila kusex.na ukim baka huwezifurahia.kutoka nje uchumi hauruhusu na pia naogopa maradhi je nifanye nini.NAOMBA USHAURI WENYE BUSARA.SIHITAJI MATUSI
 
kaa chini na mkeo mzungumze!!!mwambie kama hatabadilika katika jukumu la kindoa utatafuta msaidizi!!atastuka!!ila jamani kazi hiyo ni ngumu wacheni tu nendeni tu taratibu kwakuvumiliana na upendo
 
Mwachishe kazi hiyo na wewe uchakalike sana ili kucover pengo lake la kazi.
By the way kipindi cha nyuma ilikuwaje? Au umekuwa ukimbaka tu mwanzo mwisho?
 
Hiyo kazi ni kazi kama kazi nyingine kabisa, wapo wanaofanya kazi za kuvunja kokoto kutwa nzima na hawana matatizo ya kutimiza majukumu ya ndoa zao hata siku moja. Huyo ana lake jambo, tafakari na uchukue hatua zinazostahili kama za kuwashirikisha wazazi wake au kiongozi wako wa dini iwapo umeshaongea nae na maelewano yameshindikana. Nendeni kwenye makanisa ya kiroho inawezekana amepata pepo mume (spiritual husband) anaemaliza hamu yake ya kutimiza tendo la ndoa, akaombewe na kutolewa huyo pepo kwa jina la Yesu.
 
Mnunulie kahawa kila akirudi home inaongeza hamu ya kuDo! :-source Mtambuzi
mfanyie massage ili kuondoa uchovu na maumivu kwenye mwili wake, utaona matokeo mazuri.
 
Mnunulie kahawa kila akirudi home inaongeza hamu ya kuDo! :-source Mtambuzi
mfanyie massage ili kuondoa uchovu na maumivu kwenye mwili wake, utaona matokeo mazuri.

Hata kahawa? inaukweli hii?
 
Mmm jamani inawezekana huyo mwenzio anatatizo,mambo ya sita kwa sita mbona yanatoa uchovu mwilini? ebu mwenzangu inama ufikiri kidogo,isijekua kwako kachoka kwa wenzio anafanya bila hajizi,au michezo yako haimridhishi...ebu kaa nae chini mjadili miezi mi3 wewe sio mfungwa ivo,tena Hongera sana manake angekua kasafiri ntaelewa lakini mnalala kitanda kimoja:A S 39:
 
A case of work impinging upon social/home life.

Time management and learning how to balance the two should do the trick.
 
Mnunulie kahawa kila akirudi home inaongeza hamu ya kuDo! :-source Mtambuzi
mfanyie massage ili kuondoa uchovu na maumivu kwenye mwili wake, utaona matokeo mazuri.

Good luck " hapo ume nena Ushauri wako sahihi " Shukrani nyingi kwa ukarimu wako....
 
Yaani mtani mie ningepata sampuli ya namna hii, mbona hiyo habari ya cherehani ingeshindikana...khaaa!

imagine!
yani wakati watu ni pyumziko wengine wanahis kama wanaambiwa wakalime mwee!
 
Yaani mtani mie ningepata sampuli ya namna hii, mbona hiyo habari ya cherehani ingeshindikana...khaaa!

si ndio hapooo!
sasa yale maujanja utayafanya saa ngapi?
ah mi nakasirikaga mimi!
 

asante kwa maoni yako,
 
Kazi kweli kweliiiii.. Kwa hiyo malengo makuu ya TAASISI yamegeuzwa ni mengineyo!

She is not serious!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…