Nipeni ushauri wenu tafadhali ananiumiza huyu mwanadada

Nipeni ushauri wenu tafadhali ananiumiza huyu mwanadada

Mudundo

Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
38
Reaction score
9
Wadau, naomba ushauri wenu nduguzanguni. Kuna mwanadada mmoja ambaye kwa sasa aliolewa lakini tatizo lake huwa kila mara ananielezea shida za bwanake,anaweza niambia bwanangu jana alilewa na akakosa chakula nipe ksh.100 nikale nina njaa. Wakati mwengine bwanake akiondoka kuenda kazini huwa anakuja nyumbani mwangu huku amevaa minisketi na top pekeyake na akiniona huwa ananivunjia macho,na kutabasamu. Halafu mimi bado sijaoa. Sasa nashindwa sijui nifanyeje ili asinizoe mara kwa mara kwani sitaki kufanya maasi. Na bwanake akijua kuwa anamazoea na mimi ataniletea shida. Nipeni ushauri wenu wana Jf.
 
we piga mashine lawama baadaye au hujui kucheza mechi za mchangani
 
Pole sana kama hutaki basi usingesema na ukisema unajipongeza
 
Aisee mkuu kwani kila anayetabasam kakupenda?au akikuekeleza shida zake ndio anakutaka?au kuva min sketi ndo ishara ya kukupenda?lete hoja yenye maana ebo nyambafu.
 
Wadau, naomba ushauri wenu nduguzanguni. Kuna mwanadada mmoja ambaye kwa sasa aliolewa lakini tatizo lake huwa kila mara ananielezea shida za bwanake,anaweza niambia bwanangu jana alilewa na akakosa chakula nipe ksh.100 nikale nina njaa. Wakati mwengine bwanake akiondoka kuenda kazini huwa anakuja nyumbani mwangu huku amevaa minisketi na top pekeyake na akiniona huwa ananivunjia macho,na kutabasamu. Halafu mimi bado sijaoa. Sasa nashindwa sijui nifanyeje ili asinizoe mara kwa mara kwani sitaki kufanya maasi. Na bwanake akijua kuwa anamazoea na mimi ataniletea shida. Nipeni ushauri wenu wana Jf.

Ndezi anadondoka miguuni mwako unamwacha kweli?
 
Wote wawili mnategana nani amuanze mwenzake, ungekuwa hupendi kuelezwa shida zake ungekuwa unamuwekea sura ya Jeshi, sasa wewe kila akija unamuwekea sura ya mchungaji, unategemea nini? Jaribu kumuwekea Sura ya Jeshi.
 
Inategemea na utokako, ka ni kenya kwa hiyo alama ya ksh siwezi kusema sana ila humu Tanzania husani kule mara andaa eneo la mazishi yako, ka ni sehemu za kiganga zaidi jua baada ya kuingia mtanatana mpaka ufe na aibu ndo ujue mke wa mtu sumu ila kwa baadhi ya maeneo poa tu we endelea unakula mke wake akijua anakula dada ako na mama yako ili kulinda heshima. OA NA UKAE NA MKEO ACHA MAZOEA NA WAKE ZA WATU HASA WAUME WAKIWA KAZINI
 
Kwani hujui kuwa ukishika umeme utapigwa shoti? we unatakaje?
 
Back
Top Bottom