Tuo Tuo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 837
- 1,381
Kwa muda mrefu nimekua nikitamani kua na hisa kwene makampuni tofauti tofauti kama voda,crdb na nmb
sasa nimeona hii DSE,,,,
maswali je kununua na kuuza kupitia DSE ni sawa tu na ningeenda manual kuwekeza crdb?? au n tofauti
Je DSE ukinunua hisa inachukua muda kuonekana kwene acc yako?
Inachukua muda gan hadi hela kufika kwene acc yako?
bloker anaweza akazuia hela yako??
kwanni haina njia ya moja kwa moja kama utt?
Nina siku ya tatu nilinunua vipande 10 kwene crdb na voda havijafika kwene acc yangu ya DSe? n kawaida
sasa nimeona hii DSE,,,,
maswali je kununua na kuuza kupitia DSE ni sawa tu na ningeenda manual kuwekeza crdb?? au n tofauti
Je DSE ukinunua hisa inachukua muda kuonekana kwene acc yako?
Inachukua muda gan hadi hela kufika kwene acc yako?
bloker anaweza akazuia hela yako??
kwanni haina njia ya moja kwa moja kama utt?
Nina siku ya tatu nilinunua vipande 10 kwene crdb na voda havijafika kwene acc yangu ya DSe? n kawaida