Nipeni mbinu za kuishi single

better late than never...

Dawa ya mahusiano yanayoenda mrama si kukimbilia u single...wenzako wamekaa kwenye dating even miaka kumi na tano!
Sio kwamba hakuna kukorofishana ila yanazungumzwa! Assume umeshaingia kwenye ndoa na ukakumbuna nna hali uliyokutana nayo sasa,na tayari mna watoto,bado utakimbilia kuwa singo?
 

hiki ndio kipindi cha kusomana naye..najarbu kila wakat kuongea naye na anabadrika kwa muda na anaendlea na tabia yake...huon kama atanisumbua hta ndoani...
 
This means whoever comes, welcome him. Don't be dismayed with crushes until u find your soulmate lol! Ouh i did forget that it is elastic material comprised of, u can make it looks new as it has never been used before haha
Kula maisha doesnt mean sleeping around. Dont you think there is live aside from sex? Read my post again before jumping to conclusions.
 

Word Mkuu! She has to play it but SAFELY
 
Fight for your love, mapenzi sio rahisi kama unavyofkiria miaka miwili tu yamekushinda, Stand up girl fight..
 

Mungu ni mwema..ntamsamehe as u advise mi...maumivu ya mapenzi hayaelezeki..
 

Limi chukua ushauri wa mwanaume huu. Infact mi naongezea it is better kuwa na Plan B always. Haitakiwi kuwa na Me 1.
 

Dawa yake ni Plan B always ina work out!
 
achana na huyo halafu tafuta rafiki wa kawaida ambaye ukibanwa mtakuwa mnacheza mechi za kirafiki
 
Kula maisha doesnt mean sleeping around. Dont you think there is live aside from sex? Read my post again before jumping to conclusions.
Haha my dear i didnt jump into conclusion jus wanted u to clarify it more. Kwa akili za vijana humu unadhani wangeelewaje unaposema tu ''kula maisha na utampata mwingine''? Thanx for making it more understandable.
 


Mbinu ya kuwa single ni kuacha mahusiano kwa namna inayofaa..ila lazima upate wakukuduu...but just forget him
 

all is well..!

you had a grand amour!

je, ulishawahi kumkalaisha kitimoto na kujadili nae kuhusu ishu yako?
 
Last edited by a moderator:
hiki ndio kipindi cha kusomana naye..najarbu kila wakat kuongea naye na anabadrika kwa muda na anaendlea na tabia yake...huon kama atanisumbua hta ndoani...

Aunt tatizo la mtu kuonekana kabadilika liko kiakili zaidi,i mean yumkini huyuu bwana akawa vile vile kabla hamjaanza safari yenu ya maisha ila sasa wewe umebadilika kimtazmo zaidi na uliespect kumwona akiwa tofauti.. Ningekuwa wewe ningetumia mbinu tofauti kumrudisha badala ya kukimbilia kuachana...just look...miaka miwili mnatumiiana tu halafu leo unataka muachane kirahisi rahisi tu! Kwanini usifikirie kuwa unakoelekea panaweza kuwa worse kuliko ulikotoka?
 
hiki ndio kipindi cha kusomana naye..najarbu kila wakat kuongea naye na anabadrika kwa muda na anaendlea na tabia yake...huon kama atanisumbua hta ndoani...

Nakufahamisha my friend from experience, huyo kamatana naye mfunge ndoa, jifanye mjinga kipindi hiki, lakini kuwa na plan B. Usimuache, who knows anaeza kuwa ndiye hubby! Plan B ni muhimu sana whether uko kwenye ndoa au bado. Pia jifunze kutompenda saaaaana mpenzi wako, kutomuamini saaaana, huyo si MUNGU lol!
Last if not least don't put all your eggs in one basket!
 

nimetumia mbnu nyngi sana bt zimeshindwa....
can gve mi other techniques...
 
I doubt
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…