Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
better late than never...
Its had.but easear to 4get but on my expirience try to wine your heart coz you cant 4get your own heart
Dawa ya mahusiano yanayoenda mrama si kukimbilia u single...wenzako wamekaa kwenye dating even miaka kumi na tano!
Sio kwamba hakuna kukorofishana ila yanazungumzwa! Assume umeshaingia kwenye ndoa na ukakumbuna nna hali uliyokutana nayo sasa,na tayari mna watoto,bado utakimbilia kuwa singo?
Kula maisha doesnt mean sleeping around. Dont you think there is live aside from sex? Read my post again before jumping to conclusions.This means whoever comes, welcome him. Don't be dismayed with crushes until u find your soulmate lol! Ouh i did forget that it is elastic material comprised of, u can make it looks new as it has never been used before haha
Kula maisha! I did that. It wont last forever, soon you will meet someone else na utakuwa caged kama Karucee ubaki tu na memories za enzi hizo. Just remember to play it safe. Being single does not mean committing yourself to boredom ama kujidai umeokoka. Kula maisha weee.
Kumbuka pia time waitsfor no man, Build your future. Angalia career yako. Single or not life is juicy.
Pole sana, kwa maisha yako jifunze kusamehe na kusahau, hakuna jambo ambalo hutuliza fikra na hisia za mapenzi kama kukubali kumsamehe yule aliyekuudhi kabla hata hajakuomba msamaha na kuamua kusahau yote yaliyotokea. Yawezekana wengi mtasema haiwezekani. Inawezekana na wote waliojaribu mbinu hii walifanikiwa, lazima kila mmoja aelewe kwamba unapokasirika au kuumizwa, anayeteseka siyo yule aliyekusababishia maumivu bali ni wewe mwenyewe. Hasira au maumivu ya kimapenzi huwa kama moto mkali ambao huitafuna taratibu nafsi ya mhusika. Nakushauri samehe, ukisamehe maana yake unaupa moyo na akili yako nafasi ya kupata sehemu ya kutulia na kuuzima moto ambao tayari ulishaanza kukolea ndani yako.
wanaume wote tunabadilikaga baada ya muda obvious tunakua tumeshaizoea iyo kitu so hatuithamin kama mwanzo ingawa sio kama tunakua hatuwapend tena ni ngumu kumeza lakin ndo ukweli so cha msingi ni kukubali mabadiliko na miasha yaendelee kwan hata uko mbelen utayempata baada ya mda iyo yako ataiona ya kawaida nae atabadilika so kua nae tu ndio way of life!
Kuwa single hakuhitaji mbinu, ukiona bado unahitaji mbinu basi jua hauko tayari
Dawa ya mahusiano yanayoenda mrama si kukimbilia u single...wenzako wamekaa kwenye dating even miaka kumi na tano!
Sio kwamba hakuna kukorofishana ila yanazungumzwa! Assume umeshaingia kwenye ndoa na ukakumbuna nna hali uliyokutana nayo sasa,na tayari mna watoto,bado utakimbilia kuwa singo?
Haha my dear i didnt jump into conclusion jus wanted u to clarify it more. Kwa akili za vijana humu unadhani wangeelewaje unaposema tu ''kula maisha na utampata mwingine''? Thanx for making it more understandable.Kula maisha doesnt mean sleeping around. Dont you think there is live aside from sex? Read my post again before jumping to conclusions.
Mimi ni msichana nimemaliza chuo mwaka huu,nina boyfriend kwa miaka 2 sasa ila amebadirika sana siku hizi,nampenda sana na sina mwanaume mwngine zaidi yake thou kwao wananijua...naombeni mnipe mbinu za kumsahau sitaki kumtegemea as future husband maana atanisumbua baadaye...plz ur help...natanguliza shukurani...
Fight for your love, mapenzi sio rahisi kama unavyofkiria miaka miwili tu yamekushinda, Stand up girl fight..
Mimi ni msichana nimemaliza chuo mwaka huu,nina boyfriend kwa miaka 2 sasa ila amebadirika sana siku hizi,nampenda sana na sina mwanaume mwngine zaidi yake thou kwao wananijua...naombeni mnipe mbinu za kumsahau sitaki kumtegemea as future husband maana atanisumbua baadaye...plz ur help...natanguliza shukurani...
hiki ndio kipindi cha kusomana naye..najarbu kila wakat kuongea naye na anabadrika kwa muda na anaendlea na tabia yake...huon kama atanisumbua hta ndoani...
hiki ndio kipindi cha kusomana naye..najarbu kila wakat kuongea naye na anabadrika kwa muda na anaendlea na tabia yake...huon kama atanisumbua hta ndoani...
all is well..!
you had a grand amour!
je, ulishawahi kumkalaisha kitimoto na kujadili nae kuhusu ishu yako?
Aunt tatizo la mtu kuonekana kabadilika liko kiakili zaidi,i mean yumkini huyuu bwana akawa vile vile kabla hamjaanza safari yenu ya maisha ila sasa wewe umebadilika kimtazmo zaidi na uliespect kumwona akiwa tofauti.. Ningekuwa wewe ningetumia mbinu tofauti kumrudisha badala ya kukimbilia kuachana...just look...miaka miwili mnatumiiana tu halafu leo unataka muachane kirahisi rahisi tu! Kwanini usifikirie kuwa unakoelekea panaweza kuwa worse kuliko ulikotoka?
Kula maisha! I did that. It wont last forever, soon you will meet someone else na utakuwa caged kama Karucee ubaki tu na memories za enzi hizo. Just remember to play it safe. Being single does not mean committing yourself to boredom ama kujidai umeokoka. Kula maisha weee.
Kumbuka pia time waitsfor no man, Build your future. Angalia career yako. Single or not life is juicy.