Nipeni mawazo mimi mwalimu wa ajira mpya kuhusu chama gani cha walimu cha kujiunga

ENANTIOMER

JF-Expert Member
Sep 22, 2014
1,419
804
Kuna vyama vingi vya walimu kama vile CWT, CHAKAWATA, n.k. Kila siku nasikia vilio vya walimu wengi kuhusu kutosaidiwa na vyama vyao wakati wa shida. Mpaka sasa nahisi vyama vyote ni majanga, hivyo kama kusingekua na sheria ya kunibana nijiunge angalau na chama kimoja cha wafanyakazi, basi mimi nisingejiunga na chama chochote cha wafanyakazi.
Kwa kuangalia penye unafuu, nahitaji kufahamu haya:
  • Chama chenye makato kidogo. logic yangu hapa ni kwamba kwakua vyama vyote havina msaada kwa 'member' wake, ni bora nijiunge ktk chama chenye makato kidogo.
  • Chama ambacho angalau japo kiongouongo kiko karibu na wanachama wake hasa ktk kuwatatulia matatatizo yao. hapa najua vyote ni majanga, ila kipi angalau.
  • Mengine ongezeeni kwa faida ya walimu wapya wanaohitaji kufahamu kuhusu hili swala.
 
Mkuu kwanza hamna sheria inayokulazimisha kujiunga na chama chochote Tanzania sio cha wafanyakazi wala chama chochote chini ya jua.
Tatizo lenu walimu wengi uelewa wenu ni mdogo na unapoenda kwenye kituo chako cha kazi kutokana na furaha ya kupata kazi hvyo mnajikuta unajiunga kwenye kila kitu.
 
Wewe ni mwalimu gani ambaye hajui kuna vyama vingapi vya walimu? Kwa taarifa yako, hutakuwa na chaguo, na mshahara ukianza kuingia watakata 2% yao ya kukuhudumia japo si mwanachama. Kila la heri.
Mkuu unaanzaje kukatwa mshahara wako bila makubaliano???
Hata hivyo vyama vya wafanyakazi ili kujiunga kuna mikataba inasainiwa-yani kama ndio wanawafanyia hvyo basi walimu akili zao zitakuwa zaidi ya Bashite
 
Mkuu kwanza hamna sheria inayokulazimisha kujiunga na chama chochote Tanzania sio cha wafanyakazi wala chama chochote chini ya jua.
Tatizo lenu walimu wengi uelewa wenu ni mdogo na unapoenda kwenye kituo chako cha kazi kutokana na furaha ya kupats kazi hvyo mnajikuta unajiungs kwenye kila kitu.
manuno yako mazuri, japo umetukana kidogo.
ntafuatilia kujua kama linaukweli
 
Kuna vyama vingi vya walimu kama vile CWT, CHAKAWATA, n.k. Kila siku nasikia vilio vya walimu wengi kuhusu kutosaidiwa na vyama vyao wakati wa shida. Mpaka sasa nahisi vyama vyote ni majanaga, hivyo kama kusingekua na sheria ya kunibana nijiunge angalau na chama kimoja cha wafanyakazi, basi mimi nisingejienga na chama chochote cha wafanyakazi.
Kwa kuangalia penye unafuu, nahitaji kufahamu haya:
  • Chama chenye makato kidogo. logic yangu hapa ni kwamba kwakua vyama vyote havina masaada kwa 'member' wake, ni bora nijiunge ktk chama chenye makato kidogo.
  • Chama ambacho angalau japo kiungouongo kiko karibu na wanachama ake hasa ktk kuwatatulia matatatizo yao. hapa najua vyote ni majanga, ila kipi angalau.
  • mengine ongezeeni kwa faida ya walimu wapya wanahitji kufahamu kuhusu hili swala.
Ukifika ajirani omba fomu za CHAKAMWATA!! usikurupuke maana hata kuja kuuliza hilo swali humi UMEKURUPUKA....
Mkuu ukifika huko halmashauri utajua kila kitu..
tulia jiandae kuripoti
[HASHTAG]#USIKURUPUKE[/HASHTAG] uticha ni ule ule tu
 
Kuna vyama vingi vya walimu kama vile CWT, CHAKAWATA, n.k. Kila siku nasikia vilio vya walimu wengi kuhusu kutosaidiwa na vyama vyao wakati wa shida. Mpaka sasa nahisi vyama vyote ni majanaga, hivyo kama kusingekua na sheria ya kunibana nijiunge angalau na chama kimoja cha wafanyakazi, basi mimi nisingejienga na chama chochote cha wafanyakazi.
Kwa kuangalia penye unafuu, nahitaji kufahamu haya:
  • Chama chenye makato kidogo. logic yangu hapa ni kwamba kwakua vyama vyote havina masaada kwa 'member' wake, ni bora nijiunge ktk chama chenye makato kidogo.
  • Chama ambacho angalau japo kiungouongo kiko karibu na wanachama ake hasa ktk kuwatatulia matatatizo yao. hapa najua vyote ni majanga, ila kipi angalau.
  • mengine ongezeeni kwa faida ya walimu wapya wanahitji kufahamu kuhusu hili swala.
Vyote vipo kimaslahi zaidi na bado havijajenga uwezo wa kuwatetea wanachama wake sawa sawa. Kikubwa kabla ya kujiunga ni vizuri usome katiba za kila chama ili ujuwe ni chama kipi chenye katiba nzuri
 
mchango wako ni upi?
Sory mkuu hiyo post nimekosea haikuwa yako. Mimi nachojua ukishaajiriwa tu na Serikali kama mwalimu moja kwa moja unakuwa member wa CWT by default. Fedha inakatwa moja kwa moja 2% nadhani na kujitoa ni marufuku. Kwahiyo sidhani kama utaratibu huo unakupa fursa wa kuchagua. Hicho chama kingine sijui utaratibu wake wa kujiunga. Ngoja nikachimbe kwanza.
 
Karibu kwenye kada ya majanga na umasikini uliobobea, jiandae kudilika kuwa zuzu!!!am a
kua masiki ni mipango ya mtu pia. walimu wapo wengi, ila wanatofutiana kikipato nje ya mshahara. wapo wenye magari, wapo wenye pikipiki, wapo wenye baiskeli, na wapo wasio na hata baiskeli.
 
Usijiunge na Chama chochote,nilishauriwa hivyo tangu 2012 hadi leo sio mwanachama,sijawahi kukatwa pesa.
wewe upo kada gani, maana nasikia walimu wao wanakatwa moja kwa moja mara baada ya kuona jina lao tamisemi kama wamechaguliwa kua walimu. vurugu zingine za kuhoji zinafuata baadae
 
Kuna vyama vingi vya walimu kama vile CWT, CHAKAWATA, n.k. Kila siku nasikia vilio vya walimu wengi kuhusu kutosaidiwa na vyama vyao wakati wa shida. Mpaka sasa nahisi vyama vyote ni majanaga, hivyo kama kusingekua na sheria ya kunibana nijiunge angalau na chama kimoja cha wafanyakazi, basi mimi nisingejienga na chama chochote cha wafanyakazi.
Kwa kuangalia penye unafuu, nahitaji kufahamu haya:
  • Chama chenye makato kidogo. logic yangu hapa ni kwamba kwakua vyama vyote havina masaada kwa 'member' wake, ni bora nijiunge ktk chama chenye makato kidogo.
  • Chama ambacho angalau japo kiungouongo kiko karibu na wanachama ake hasa ktk kuwatatulia matatatizo yao. hapa najua vyote ni majanga, ila kipi angalau.
  • mengine ongezeeni kwa faida ya walimu wapya wanahitji kufahamu kuhusu hili swala.
Kwanza hakuna Chama chenye Makato makubwa wala madogo, vyama vyote vya wafanyakazi vinakata 2% ya basic salary yako endapo utajiunga navyo.

Pili, hakuna sheria inayolazimisha watumishi kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi, ni hiyari yako kujiunga au kutojiunga.

Nakushauri usijiunge na Chama chochote ili usije juta baadae,
 
Kwanza hakuna Chama chenye Makato makubwa wala madogo, vyama vyote vya wafanyakazi vinakata 2% ya basic salary yako endapo utajiunga navyo.

Pili, hakuna sheria inayolazimisha watumishi kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi, ni hiyari yako kujiunga au kutojiunga.

Nakushauri usijiunge na Chama chochote ili usije juta baadae,
sasa baada ya kuujua ukweli, nasema sitajiunga. nimesema tena sitajunga. nilijua kuna sheria inayowabana watumishi, kumbe ni kiherehere tu kujiunga
 
Mimi ni Mwalimu sekondari sio mwanachama wa chama chochote.
Staff ina walimu 30 lakini wanachama wa CWT ni wastani wa 15 tu.

Tatizo hapa ni Jf ningekushauri namna ya kukwepa.
wewe upo kada gani, maana nasikia walimu wao wanakatwa moja kwa moja mara baada ya kuona jina lao tamisemi kama wamechaguliwa kua walimu. vurugu zingine za kuhoji zinafuata baadae
 
Back
Top Bottom