Nipe mkono...

Yaani angemfanyia uchawi?? Kumbe kupeana mikono ni risk sometimes aisee🤔 nimeelewa sasa. Thank you
 
Yeuwii kumbe, kijinini kwetu kusalimiana bila kupeana mikono ni shughuli unaonekana na dhereu sana, ila sasa siku watakuja kuiba nyota kumbe nyota yenyewe ya punda , haina mafanikio watajuta
Hahaha, nyota ya punda inaonekana unabeba sana mizigo. Wengine walikuaga wanatumia kipengele Cha kutakiana amani kanisani kuiba nyota, Bora saivi tuna bow to each other
 
Yaani angemfanyia uchawi?? Kumbe kupeana mikono ni risk sometimes aisee🤔 nimeelewa sasa. Thank you
Hiyo imenikumbusha kule kwetu miaka 80 kulikuwa na mfanyabiashara ya kununua na kuuza ng'ombe alikuwa hatoi mkono wake kwa ajili ya kusalimiana. Ukimpelekea mkono wako yeye hatoi mkono wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…